ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,444
- 136,902
Mbona sgr mlisema hvo hvo mumesahau leo😀😀Mwaka wa ngapi huu bado mnaimba, huu wimbo mtamu kwel
Mbona sgr mlisema hvo hvo mumesahau leo😀😀Mwaka wa ngapi huu bado mnaimba, huu wimbo mtamu kwel
Labda we unioneshe kwanza bomba la turakana lamu
Kwnza hapo kwa lamu paache kabisa, lazima panamax itie nanga na tuwagawie mizigo
Umekasirikasirika, tokeni ldc mje mfanye biashara hku muone vile benki zinafanya biasharaUnaongea kama vile mtu aliekata tamaa
Tufanye biashara kwenye failed state 😀😀😀Umekasirikasirika, tokeni ldc mje mfanye biashara hku muone vile benki zinafanya biashara
Ka post tweets kwanza, m nko njianiAcha hasira basi plznikupe soda unywe
Soda plz kunywa ya 60 Bob 😀😀😀Ka post tweets kwanza, m nko njiani
Mvua imeenza kunyeesha Nairobi hata hatuoni wakitupa updates kama walivyo kuwa wakitupa updates za Dar es salaam 😂😂😂
Hadi huku
Hadi vyuoni 😂😂😂Na ndio best hospital in nairobi
Mpaka kwenye slums pia hawakusahaulika
Na ukiwakuta town unaeza sema ni watu mashuhuri sana 😀😀😀😀😀Hawa watu hapo wanaishi kwenye hayo mabanda? Kweli hiyo ni middle income.🤣🤣
Vukeni mipaka kwanza ndio muanze kuongea
Ule wimbo wa kujenga bomba la mafuta toka lokachiar kwenda Lamu port mbona hatuusikii tena?Mwaka wa ngapi huu bado mnaimba, huu wimbo mtamu kwel
Si nynyi mlijifanya mnaweza kufanya biashara na uganda kuliko sisi hku mkijisifu eti mna ushauri mkubwa EA...Ule wimbo wa kujenga bomba la mafuta toka lokachiar kwenda Lamu port mbona hatuusikii tena?
Mvua imeenza kunyeesha Nairobi hata hatuoni wakitupa updates kama walivyo kuwa wakitupa updates za Dar es salaam 😂😂😂