Kuna sehemu zingine hwathubutu kugusa kama stand za mabasi na masoko
SanaHawana Hela, Kila mradi kenya lazima wakimbilie kuomba hela China,
Tena Kwenye suala la Transport kwa Ujumla wako Nyuma sana.
Ulifunga na nani 😀😀😀Tulifunga kitambo hyo mada, endelea ku post tweets tu jomba
Nenda ukamsaidie mwenzako ku post tweets za akina makonda hkoUlifunga na nani
Usafiri gani huo, au unafikiria hku watu hupangiwa mpaka masaa ya kuabiri gari...Hawana Hela, Kila mradi kenya lazima wakimbilie kuomba hela China,
Tena Kwenye suala la Transport kwa Ujumla wako Nyuma sana.
Acha hasira basi plz😀😀😀😀nikupe soda unyweNenda ukamsaidie mwenzako ku post tweets za akina makonda hko
Kwhyo mtaekeza jiwe la uzinduzi tena?Site mobilization inaendelea. January kitu ramsi kinaanza. By 2023 Chongoleani wanaanza kuzinusa drops za mafuta.
Bomba liko wapiKwanza somo limekuingia au bado
Vukeni mipaka kwanza ndio muanze kuongea
Na turakana lamu iko wapi??😀😀😀Bomba liko wapi
Unaongea kama vile mtu aliekata tamaa 😀😀Vukeni mipaka kwanza ndio muanze kuongea
Labda we unioneshe kwanza bomba la turakana lamu😀😀😀Bomba liko wapi
Bomba liko wapi
Tulieni mjifunze. Muache kukurupuka.Kwhyo mtaekeza jiwe la uzinduzi tena?
Mkizindua tena ni tag jombaHehhe unafkiri tunatania humu ndani
Mwaka wa ngapi huu bado mnaimba, huu wimbo mtamu kwelTulieni mjifunze. Muache kukurupuka.
Tulia nikupe doze angali date hapo😀😀Mkizindua tena ni tag jomba