Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio siri airport mpya ni kali,was there over the weekend but the city is shit
Kwn mwakani mnazindua expreesways ngapi
Unaona mkenya mwenzako alichosema ? Sasa kaja dar tunamtaka atuletee picha za slum mlizokuwa mnasema, na kuhusu airport mjue kuanzia leo ubishi tumefunga tena hapo airport tunampango wa kujenga hoteli kabambe ya airport very soon
 
Unaona mkenya mwenzako alichosema ? Sasa kaja dar tunamtaka atuletee picha za slum mlizokuwa mnasema, na kuhusu airport mjue kuanzia leo ubishi tumefunga tena hapo airport tunampango wa kujenga hoteli kabambe ya airport very soon
Airport gani hyo..sema ile terminal III jomba...
Kwngine kwote ni maajabu, kuhusu jkia usijali kile kitu kitakachokuja kujengwa hamatoamini
 
Back
Top Bottom