dah.. kwan huyu mkulima niaje! hope hata huko canada tutashinda


Dawa ya deni ni kulipa sio kila wakati kuingilia kenya apa ina deni na hatujawahi shindwa kulipa deni lolote.Dawa ya deni inajulikana
Hapa agakhan walikuwa na mpango wa kujenga university yao sijui bado upo?
Umeitoa wapi hyo 75%Tusibishane bure swali kwanini wakenya wakija tz tunawapeleka majumbani kwetu ila wao ukiwatembelea Kenya hawawezi kukupeleka wanapo ishi sababu ni moja wanaona aibu wakilinganisha makazi yetu watz na yakwao hivyo ukimwambia mkenya unataka kumtembelea kwake utaona anabadilika na kukunja uso sababu 75% ya wakenya Nairobi wanaishi Kwa slum huo ndiyo ukweli




Dawa ya deni ni kulipa, sio kulalamika kijinga jingahawa Wacanada si ndo tuliichinjilia mbali Acacia yao! Kuna umuhimu wa kuacha kununua ndege zao! Embraer ni good substitute!
a man from unreasonable city.....a.k.a kenyan zombieUmeitoa wapi hyo 75%
Population kubwa ya wakaazi wa nairobi wanaishi eastlands...
Sasa nionyeshe middle class area yyte dar inaweza igusa eastlando..we unafikiria utakaribishwa kw watu kwn unataka kuolewa...Ukitaka nenda kw wakwe zako utapokelewa vizuri tu.
Tatizo lenu mnapenda ubwete, kenya kila mtu anapambana na hali yake..
Nionyeshe middle class area yyte dar km donholm, umoja, southb, nyayo ni nyingi tu
Lingekua deni angeshinda kwao south africa😆😆😆 mbona ilimtokea puaniDawa ya deni ni kulipa sio kila wakati kuingilia kenya apa ina deni na hatujawahi shindwa kulipa deni lolote.
👇👇👇👇👇Dawa ya deni ni kulipa, sio kulalamika kijinga jinga
Lingekua deni angeshinda kwao south africa😆😆😆 mbona ilimtokea puani
Wako bize BBI na mabwawa ya maji ambayo wakubwa waliahidi na fedha zenyewe zimeliwa 😂😂😂Wakenya mbona huwa hampost bus stage zenu na masoko ya wananchi wenu fanyeni kupost tuone mazee😂😂😂
😂😂😂🤷🙆🏃deni la mchina mmeweza kulipa?
Hata la Mombasa nalo ni deni ,Mkae mkao wa kubetuliwa 😂Dawa ya deni ni kulipa, sio kulalamika kijinga jinga