Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Inatisha kwa kweli [emoji51][emoji51][emoji51]

Waache vijana watumie mitambo bana...
Yani pesa za kununua bunduki na risasi wanazo lkn za kujinunulia vyakula hawana..

Sijui hawa jamaa huaga wanawazaga nn katika haya maisha..mtu anaweza kupiga risasi kw ajili ya mifugo
 
Waache vijana watumie mitambo bana...
Yani pesa za kununua bunduki na risasi wanazo lkn za kujinunulia vyakula hawana..

Sijui hawa jamaa huaga wanawazaga nn katika haya maisha..mtu anaweza kupiga risasi kw ajili ya mifugo
Inasikitisha hadi huruma, serikali yenu ifanye namna hapo amani na utulivu irudi,
Maana hadi watoto wa shule hali ni tete,
Watoto wengine wanachezea hizo silaha kama hawana akili nzur 😂😂😂
Hapo ingewekwa angalau kambi moja ya jeshi Ingependeza zaidi maana hayo maeneo ni kama serikali yenu imeyatenga na kuyatelekeza kabisa.
 
London
tapatalk_1574138492719.jpeg
tapatalk_1574138509988.jpeg
tapatalk_1573815311639.jpeg
tapatalk_1573762652257.jpeg
tapatalk_1573048272064.jpeg
 
Back
Top Bottom