Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzidi kulinganisha lakini reality is bado mko mbali saaana. Mine is to remind you things that you try to forget with silly questions and commets. Dar mji mzuri na iko na view fiti sana with something to admire especially kwa public transport, lakini kwa wealth and infrastructure bado. Jaribuni Mombasa kaka zetu.



View attachment 1265027View attachment 1265031
View attachment 1265035
View attachment 1265037View attachment 1265039

Na bado crane ziko juu

View attachment 1265040

View attachment 1265046

View attachment 1265045

View attachment 1265047

A new city coming up in Two Rivers,

View attachment 1265041

New developments behind Garden City coming up.

View attachment 1265034
Huezi linganisha mji wa Nairobi na kacity flani ambayo inafanana Mombasa
 
Mwakani siyo mbali msije sema watz atukuwaambieni mapema miradi yetu 3000 itakuwa imdkamilika kati ya elfu3600 kazi itakuwa kuzindua tu na hela kuelekezwa kwenye miradi mipya
Sijui kama Kenya mtapita salama kwenye uchaguzi wenu 2022 maana mtakuwa na uchungu na viongozi wenu sababu ya maendeleo ya tz
Acha tuwaamshe nakweli kazi itakuwepo sema ukabila ndo unawakwamisha unaezakuta kiongozi mkora ila kwa sababu ni wakabila lenu unajikuta tu umempa kura yako maana una hofu na upande wa pili utawatupa kabisa kwny kuwatetea mnaona bora mpate kiongozi mwenye nguvu anayetokea upande wenu hata kama ni mlafi!!! Potelea mbali!!!! Tumshukuru sana Baba wa Taifa kwa kutuepushilia hili maana ni janga.
 
Nilitaka ku ignore lakini I'd be doing some injustice to this world if I let this ignorance unchecked. Nairobi is not a city designed for leisure but business. Leisure in Nairobi ni mostly indoors na usiku kama clubs. Ukitaka leisure, nenda Mombasa. It's only recently that I've started seeing Nairobians embracing outdoor activities. Kwanza they rarely do outdoors kama swimming etc coz of the cold weather. Our challenges demand different approaches kama hizi

The world renowned Magic Planet at two rivers.


One of the many funscapes shops in Nairobi


The Hub has several indoor theme parks


😆😆😆😆😆👇👇👇👇👇punguza hasira hapa kwanza









 
Nilitaka ku ignore lakini I'd be doing some injustice to this world if I let this ignorance unchecked. Nairobi is not a city designed for leisure but business. Leisure in Nairobi ni mostly indoors na usiku kama clubs. Ukitaka leisure, nenda Mombasa. It's only recently that I've started seeing Nairobians embracing outdoor activities. Kwanza they rarely do outdoors kama swimming etc coz of the cold weather. Our challenges demand different approaches kama hizi

The world renowned Magic Planet at two rivers.


One of the many funscapes shops in Nairobi


The Hub has several indoor theme parks


Alaf hii inaitwa fun city ndio sehemu kubwa ya kisasa mabembea na kila aina ya michezo unayoiskia duniani east and central africa 👇👇👇👇👇👇👇Tafuta kama hii kenya nzima














 
Nilitaka ku ignore lakini I'd be doing some injustice to this world if I let this ignorance unchecked. Nairobi is not a city designed for leisure but business. Leisure in Nairobi ni mostly indoors na usiku kama clubs. Ukitaka leisure, nenda Mombasa. It's only recently that I've started seeing Nairobians embracing outdoor activities. Kwanza they rarely do outdoors kama swimming etc coz of the cold weather. Our challenges demand different approaches kama hizi

The world renowned Magic Planet at two rivers.


One of the many funscapes shops in Nairobi


The Hub has several indoor theme parks


Huu mchezo unaitwa roller coster kwa africa mashariki na kati unapatikana dar na zanzibar pekee😆😆😆😆👇👇👇👇👇kama utaupata huu mchezo kenya nzima nitag usiache plz😆😆😆😆😆😆
Fun city dar👇👇👇👇
50C34004-CEBF-42D2-AB03-3680F6F16C57.jpeg




roller coaster zanzibar👇👇👇
BD8FF4D1-CC3F-4244-83B4-5C345181626C.jpeg
 
Back
Top Bottom