Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zidi kununua na tunawaombe mnunue zaidi. Lakini mtakuja kujua biashara ya ndege si ya kusafirisha lori za vitunguu hadi Nairobi. There's a reason most airlines prefer leasing over buying. The most experienced executives will tel you its business over status. But you people seem to love status more.
Hatred kills
 
Kuna majengo na kuna KICC. Since 1970s, still standing strong, still a great symbol. Najua picha ishawekwa kwenye uzi nyingin lakini bado ntaiweka tu hapa. Ni jengo la wakoloni pia 😅😂😂

View attachment 1232977
Hawa wajinga believe that everything on Nairobi is a product of the white man. Wanatia huruma sana. What they don't know is that most of these tall buildings they see around are owned by Kenyans or Kenyan companies
 
Wachina walipotutengenezea TAZARA walituletea tekinolojia mpya kabisa kwa sasa reli zao wanatumia tekinolojia ya CWR. Nyinyi wamewaingiza mjini na kwa ushamba wenyu mmeingia mkenge, wamewajengea reli ya kizamani ile yenye mabolts "mingi". 🙂
Aloo pesa yote wamelipa alafu mabolt kila upande 🏃
 
Zidi kununua na tunawaombe mnunue zaidi. Lakini mtakuja kujua biashara ya ndege si ya kusafirisha lori za vitunguu hadi Nairobi. There's a reason most airlines prefer leasing over buying. The most experienced executives will tel you its business over status. But you people seem to love status more.
Nyie wajanja sana, kumbe ndio maana mnamuuzia mtu ndege halafu mnailease back. Kumbe ndio mchezo mnaochezea wenzenu? Hayo mashirika mnayoyauzia na kulease back hawana akili kabisa na huenda hawajajua kuwa nyie ni wajanja kuliko wao

Ila GOT ndio inanunua na kulease kwa ATCL
 
Kuna majengo na kuna KICC. Since 1970s, still standing strong, still a great symbol. Najua picha ishawekwa kwenye uzi nyingin lakini bado ntaiweka tu hapa. Ni jengo la wakoloni pia

View attachment 1232977
Wakoloni waliondoka Kenya in 1963.
The building came into existence in 1975. KICC was Commissioned by Jomo Kenyatta designed by Kenyan architect Engineer NGILU in consultation with David Mutiso the first African architect. Wakoloni umetoka wapi nao tena ama uko na kichaa
 
Wakoloni waliondoka Kenya in 1963.
The building came into existence in 1975. KICC was Commissioned by Jomo Kenyatta designed by Kenyan architect Engineer NGILU in consultation with David Mutiso the first African architect. Wakoloni umetoka wapi nao tena ama uko na kichaa
Be easy on him, he's just being sarcastic to Tanzanians for claiming everything in Kenya was done by the whites. While Kenya was producing Africa's first architect, Tanzanians were still busy fishing in Lake Tanganyika 😂 😂 😂
 
Subutu! Kuna bonge la bifu la kiukabila, wanaopatana ni Mzee Kibaki na Uhuru.
Vilaza wakiuliza Maswali za kijinga
25a7107f46f34f0d913ab5a270d49ffb.jpg
images(60).jpg
images(61).jpg
 
Subutu! Kuna bonge la bifu la kiukabila, wanaopatana ni Mzee Kibaki na Uhuru.
Unaongelea maswali ya Kenya wakati hata huyajui. Wewe unajua hata ni nani aliingiza Uhuru kwenye siasa mwaka wa 2001? Shugulika na sisiemu ya Kenya huyawezi
 


Incat Crowther 45 Takes Azam Partnership to Double Figures

  • IC17192_News01.jpg
  • IC17192_News02.jpg
  • IC17192_News03.jpg
  • IC17192_News04.jpg

PrevNext
14 Oct 2019
Incat Crowther is pleased to announce the launch of Kilimanjaro VII, a 45m catamaran passenger ferry for Azam Marine of Tanzania, Africa. This vessel is the tenth vessel designed by Incat Crowther for the operator, and the seventh vessel built for the operator by Richardson Devine Marine.
The 500-passenger, 35 knot vessel features the operator’s trademark parallel boarding system, whereby five ramps per side load passenger and cargo in segregated flows. VIP and Royal Class passengers board into a discreet stair tower directly to the upper deck cabin, whilst economy passengers load separately aft and midships. The fifth ramp is dedicated to luggage trolley movements. The boarding system ensures passenger classes and luggage trolleys are segregated, reducing turnaround time and improving safety, whilst promoting exclusivity for the higher yield passengers.
The vessel seats 224 passengers in its main deck economy cabin, 72 VIP passengers and 18 Royal Class passengers in full lie flat seats on the mid deck, with the remainder being economy passengers in separate areas over three decks. A major enhancement from earlier vessels is the relocation of the wheelhouse to the third deck. This configuration results in panoramic windows forward on the mid deck, creating a class-leading experience for occupants of this high-revenue space.
The luggage room houses up to 10 tonnes of luggage and cargo, whilst IMO HSC code-compliant stability enhances her safety credentials.
Kilimanjaro VII
is the first fast passenger vessel to use a pair of Cummins QSK95-M main engines, although Incat Crowther is familiar with this model, having utilised them in recent offshore deliveries. In this specific project, the large twin engine solution is an effective way of providing more speed whilst avoiding the through-life cost and complexity of a four-engine power train. Engine room accessibility is improved over a four-engine arrangement, and maintenance and operational requirements are reduced. Additional dividends are realized in the routing and a reduction in the duplicity of systems.
Kilimanjaro VII
excelled in sea trials, operating at a fully loaded speed of 30 knots at low proportion of MCR to offer very long engine life. She has a top speed in excess of 37 knots and has proven extremely smooth and quiet.
This latest design further demonstrates the deep operational understanding Incat Crowther shares with its clients. Part of Azam Marine’s enormous success has been based on the vessels being fuel efficient, reliable and simple to maintain, a crucial trait in Africa.


AUSTRALIA

Ph: +61 2 9450 0447
Unit 15/9 Narabang Way Belrose NSW 2085 Australia
NTH AMERICA
Ph: +1 337 267 1403
102 Asma Blvd Ste 100

 
Back
Top Bottom