Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
huyo hana akili mwache abaki na ujinga wake abaki kama anavyohisi.......tanzania dar pekee ndiyo kidogo tulijichanganya ila almost 99 percent ya mikoa mingine haipo hovyo na haitokuja kuwa unplanned......Naongelea slums, Nairobi ina slums, Dodoma haina slums
Halafu futa notion iliopo kwenye kichwa chako kwamba miji ya Tanzania haipo planned, sikatai ipo miji ambapo some of their areas are not properly settled lakini most of the cities and towns are well established,
Check with the Singida and Musoma as a study case quite unpopular lakini zipo good
View attachment 1231575View attachment 1231576View attachment 1231577View attachment 1231578View attachment 1231582
huyo umempa faida ya bure ungemuacha tu abaki na uchokoraa wake



