Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Leasing inamaanisha nini kwa Kiswahili?Asa unakubali nn unakataa nini??
We kweli pang'ang'a.
Ila bado hujanionesha mahala palipoandikwa kukodishiwa ardhi.
Leasing inamaanisha nini kwa Kiswahili?Asa unakubali nn unakataa nini??
We kweli pang'ang'a.
Ila bado hujanionesha mahala palipoandikwa kukodishiwa ardhi.
Then don't talk the same about Kenya coz you are a foreignergot no time to argue with foreigners about land ownership in Tanzania

kwn mtu ukiwa na hati utababaika na nn kuhusu shamba lako...si atakayeuziwa shauri yake atajipanga
These are masters in denial. Atakuzungusha kwelikweli. Hadi mambo yaliyowazi yanapingwa!













Now this is the most interesting part. Kule vijijini, ardhi yote inasimamiwa na Almashauri ya Ardhi, wala si watu binafsi. Yani huwezi ukasema eti unamiliki kipande cha ardhi kijijini sehemu fulani, bali ni ya wanavijiji wote chini ya hiyo Almashauri ya Ardhi. Hata Ukitaka kufanya kitu chochote kwenye ardhi kule kijijini, ni lazima upate kibali kutoka kwa hiyo Almashauri ya Ardhi!! Hii si ni utumwa???
View attachment 1230195
Alafu wanakuja hapa na porojo za "Wakenya wengi hawana mamlaka ya kumiliki ardhi" wakati mambo kule kwao ni ya kuhuzunisha!
got no time to argue with foreigners about land ownership in Tanzania
Hadishii njoo uongo njoo utamukolea teh te teee !!! Kwahiyo wewe unaweza kununua ardhi !!?? Usinitake nichekeHeheeee...we nitusi unavyotaka lkn ukwel ni kwamba, hayo yote unayoyaongelea kenya yapo...
Halafu umenielewa lkn unataka kuzuga tu...ardhi ya jamii utaimiliki kw sababu mayb wewe ni wa hyo jamai au hta ya kijiji utarithi kutoka kw baba yako...
Sasa maneno mengi ya nn?hapa nataka unieleze mtu kumiliki ardhi yake mwenyewe pale anapotaka sio eti ategemee ya jamii...
Kw mfano kenya mtu wa mombasa akinunua ardhi ngong anapewa tittle deed na wala hamna wa kumtatiza, ni ya kwake milele...
Tatizo hutaki kukubali km mnakodishiwa ardhi...yani unanua ardhi na unapewa hati lkn unawekewa mda ukiisha unaregea tena hko uka renew km sio u squater ni nn?
Bwaahhh hapo ndiyo unyamaze kabisa cheki hiyo video yote wakenya wenzako waliukimbia Uzi baada ya kuiona tunapiga kazi usiku na mchanaTunagoja mzindue kile kituko cha mturuki
Tunagoja mzindue kile kituko cha mturuki
Kabisaa halafu isitoshe hizo leasing laws zipo Kenya pia!Huyo hajui difference between leasing and renting. Haya maneno mawili yanamchanganya
Wale wa kufananisha Mwanza port na Kisumu port wapo wapi?TUELEWANE coffer dam + 4 ships construction loading....
View attachment 1230333View attachment 1230335View attachment 1230337View attachment 1230339View attachment 1230341View attachment 1230343View attachment 1230346View attachment 1230348View attachment 1230350
😂 Nasikia bado wapo na raila kwenye zoezi la ukataji wa magugu maji yaliyoishambulia 'bandari'Wale wa kufananisha Mwanza port na Kisumu port wapo wapi?
Bwaahhh hapo ndiyo unyamaze kabisa cheki hiyo video yote wakenya wenzako waliukimbia Uzi baada ya kuiona tunapiga kazi usiku na mchana
Uzinduzi umeota mbawa kama daraja la Likoni from 2017 to now 2022 as a date construction to be launched!😂 Nasikia bado wapo na raila kwenye zoezi la ukataji wa magugu maji yaliyoishambulia 'bandari'
Mbwembwe? Progress over 10% now! Wapi Kimwarer and arrow multipurpose dams?Mbwembwe tu hizo