Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaka jibu swali nilokuuliza.
Ku lease ardhi labda uwe unataka ardhi ya NHC(National Housing Corporation ) ukiwa na ardhi yao itabidi uilipie na ukishindwa wanasepa nayo labda uinunue ukiweza na uwe na hati miliki ya hiyo ardhi.

SINA NILICHOKIBAKIZA KWAHERI.
Kwhyo zile habari za ku lease ardhi ni urongo, ama ubapinga
 
Km ardhi inamilikiwa na shirika la serikali basi utakodishiwa ukitaka.
Lakini km ardhi ni yako ww utakodishiwa kivipi mbona mnakuwa mnarocha bandugu mnakwama wapi???
Basi thibitisheni km kuna mtu aliwahi pokonywa ardhi kisa hakuilipia na ardhi ni yake.
Hyo jamaa ana shida sana...anataka kutu aminishia km tanzania serikali imeacha ku lease ardhi kw wana nchi wake..
 
Hayo mambo ya kwamba usipolipa utapokonywa unayaleta wewe...manake sidhani km kuna mkenya kayasema hayo..labda uwe una zuga tu...

Byda nani kakwambia km watanzania wana rent ardhi kutoka kw serikali...
Jombaaa, wacha kujitoa ufahamu, hapa tunaongelea leasing...
Na katika pachiko ilielezwa vizuri, mtu ana lease kutoka miaka 33, mpka 99..

Sasa nataka uje unieleze hyo leasing inamaana gani
Nawashangaa kaka ilhali mm nina shamba mla mleni kongowe ndani huko heka 13 nililiacha sikulishughulikia na kupata hati miliki.
Mwez wa ramadhan nikapigiwa sim na watu wanaonilindia kule kuwa raia wanataka kujigawia maeneo.
Nikaenda afisa ardhi alikuja nikapimiwa eneo langu na kuambiwa nikate hati miliki nikakata ili kuepusha mgogoro wa ardhi na nikaanza ulipaji kodi kwa kupigia mahesabu na kodi za nyuma na hati nimetengenezewa fresh tu.
Sasa najiuliza,MBONA SERIKALI HAIKUNIPOKONYA SHAMBA KM WAO WANATUKODISHA ARDHI??
MBONA WAO WALIDAI KODI YA ARDHI SIO HELA YA UKODISHAJI ARDHI NA MBONA HATUKUANDIKISHIANA MKATABA KUWA NIMEKODI ARDHI INAYOMILIKIWA NA AFISA ARDHI NA NITALIPIA NA NIKISHINDWA NIRUDISHE MALI YAO,MBONA HV HAVIPO??
HADI SASA NAJIULIZA .
 
Hayo mambo ya kwamba usipolipa utapokonywa unayaleta wewe...manake sidhani km kuna mkenya kayasema hayo..labda uwe una zuga tu...

Byda nani kakwambia km watanzania wana rent ardhi kutoka kw serikali...
Jombaaa, wacha kujitoa ufahamu, hapa tunaongelea leasing...
Na katika pachiko ilielezwa vizuri, mtu ana lease kutoka miaka 33, mpka 99..

Sasa nataka uje unieleze hyo leasing inamaana gani
Hakuna sehem article ya Tanzania land act inasema kuwa we lease land for 33 ,66 or 99 years.
Acha kujichanganya man.
Unapokodisha kama haujalipia inamaana utapokonywa kitu ulichokodi .

SURA YA PILI
MASUALA MUHIMU KATIKA SERA NA SHERIA ZA ARDHI NCHINI TANZANIA
SERA YA TAIFA YA ARDHI YA 1995
Sera hii inaweka kanuni za msingi zinazotawala mfumo mzima wa umiliki, usimamizi na matumizi ya ardhi nchini. Kanuni hizo ni pamoja na:-
· Kutambua kuwa ardhi yote ya Tanzania ni mali ya umma na kuwa imewekwa mikononi mwa Rais kama mdhamini kwa niaba ya raia wote.
· Kulipa fidia kamili, ya haki na kwa wakati kwa mtu yeyote ambaye haki miliki inafutwa matumizi yake.Pia kuwezesha ardhi kugawiwa kwa haki na kupatikana kwa raia wote
· Kuwawezesha raia wote kushiriki katika kutoa maamuzi ya mambo yanayohusiana na milki au matumizi yao ya ardhi.
· Haki ya kila mwanamke kupata,kumiliki,kutumia na kuuza au kuigawa ardhi kuwa sawa na haki ya mwanaume yeyote kwa viwango na masharti sawa
SHERIA ZA ARDHI ZA MWAKA 1999 NA SHERIA ZINGINE ZENYE MGUSO KATIKA ARDHI.
Maana ya ardhi
Ardhi ni ile inayojumuisha vitu vyote vilivyo juu na chini ya uso wa nchi vikiwemo majengo, uoto wa asili na maendelezo yote yaliyofanywa isipokuwa madini na bidhaa za mafuta na gesi.
Makundi ya ardhi
Ardhi imegawanyika katika makundi matatu ambayo ni:-
1. Ardhi ya kawaida/jumla: ni ardhi yote ya umma ambayo siyo ardhi ya hifadhi wala ardhi ya kijiji. Hata hivyo, kwa mujibu wa sheria ya ardhi Na.4,1999 inajumuisha ardhi ya kijiji ambayo haikaliwi wala kutumiwa na wanavijiji. Kamishna wa ardhi ndiye msimamizi wa kundi hili la ardhi.
2. Ardhi Hifadhi: ni ardhi iliyotengwa kwa shughuli maalumu kama vile hifadhi za misitu, barabara, vyanzo vya maji nk. Kundi hili liko chini ya usimamizi wa mamlaka mbalimbali za aina ya ardhi husika.
3. Ardhi ya Kijiji: hii ni ardhi iliyo ndani ya kijiji kilichosajiliwa na kubainishwa mipaka. Kwa mujibu wa sheria ya serikali za mitaa (Mamlaka za Wilaya), ya mwaka 1982 na kuwa chini ya usimamizi wa Halmashari ya Kijiji. Pia ardhi ya kijiji ni ardhi iliyotengwa chini ya sheria ya uundwaji wa vijiji,1965.Vilevile, ardhi ya kijiji ni ardhi ambayo si hifadhi, na kwa muda wa miaka kumi na miwili kabla ya sheria ya ardhi ya vijiji,Na.5 kutungwa, wanakijiji wamekuwa wanaikalia na kuitumia kama ardhi ya kijiji na pasipo kuwepo na aina yoyote ya umiliki au matumizi kabla au wakati wa ya kipindi hicho
MFUMO YA UMILIKAJI WA ARDHI
Kuna aina kuu mbili za umilikaji wa ardhi nchini Tanzania
· Umilikaji ardhi kimila: Huu ni utaratibu wa umilikaji ardhi kwa kufuata taratibu za kimila na desturi za jamii husika. Aina hii ya umiliki hutumika katika ardhi ya kijiji kama ilivyobainishwa katika sheria ya ardhi ya vijiji Na.5,1999
· Umilikaji ardhi kwa Hati: huu ni utaratibu wa hati unaotumika na kutolewa katika kundi la ardhi ya kawaida/jumla. Katika utaratibu huu mtu anaweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 33, 66 au 99 na anakuwa na hadhi ya upangaji.
Upatikanaji wa Ardhi
Ardhi inaweza kupatikana kwa njia zifuatazo:-
i. Kurithi
ii. Kusafisha pori/eneo lisilo na mmiliki
iii. Kununua
iv. Kupewa zawadi
v. Kugawiwa na serikali
Mamlaka za usimamizi wa ardhi
1. Halmashauri ya Kijiji- Hii haimaanishi kuwa Halmashauri ya Kijiji ni mmiliki wa ardhi ya kijiji bali ni msimamizi tu na haina mamlaka ya kugawa ardhi au kutoa ruhusa ya kutumia ardhi kimila bila idhini ya mkutano mkuu wa kijiji.
2. Mkutano Mkuu wa Kijiji- ndicho chombo chenye madaraka ya juu kijijini juu ya masuala yote ya yakiwepo masuala ya ardhi kama vile kuthibitisha na kukubali au kukataa maombi ya ardhi ya kijiji.
3. Kamishna wa Ardhi- ndiye mtendaji na msimamizi mkuu wa makundi yote ya ardhi na amepewa majukumu ya kiushauri kwenye ardhi ya vijiji.

Ebu soma vema.
Hiyo miaka 33,66 na 99 ni muda wa hati miliki.
Halafu panda juu kasome ardhi ya jumla ikoje.
Na hii wala haikuondolei umiliki wa ardhi yako bali huleta shida tu ktk ulipaji kodi TRA basi.
Asa sijui wapi tunakodishiwa ardhi ebu nitafutie neno kuwa tunakodishiwa ardhi.
Na soma aina za upatikanaji wa ardhi.
Halafu usiwe kichaa kiasi hiko Tz wapo wanao rent ardhi serikalini ktk shirik la nyumba la taifa NHC.
punguza miraa na gongo buddah.
 
Wacha kutudanganya hapa...
Tanzania ardhi imegawanywa mara tatu..
General land
Village land
Reserved

Kulingana na land act inavyosema, ni tofauti na ulichokiandika....
Kati ya hzo zote, village land tu pekeake ndio haina mambo mengi km ilivyoandikwa hapa
Km ardhi inamilikiwa na shirika la serikali basi utakodishiwa ukitaka.
Lakini km ardhi ni yako ww utakodishiwa kivipi mbona mnakuwa mnarocha bandugu mnakwama wapi???
Basi thibitisheni km kuna mtu aliwahi pokonywa ardhi kisa hakuilipia na ardhi ni yake.
Code:
We ni muongo...sijui unatudanganya hapa eti mara hivi mara vile, wengi wenu mnamiliki village land, hko kwngine mnapaogopa kisa kuna ishu za hati na unapewa mda flani..km squater vile...

Anyway!! Am off
 
Km ardhi inamilikiwa na shirika la serikali basi utakodishiwa ukitaka.
Lakini km ardhi ni yako ww utakodishiwa kivipi mbona mnakuwa mnarocha bandugu mnakwama wapi???
Basi thibitisheni km kuna mtu aliwahi pokonywa ardhi kisa hakuilipia na ardhi ni yake.
20191011_180832.jpeg
 
Wacha kutudanganya hapa...
Tanzania ardhi imegawanywa mara tatu..
General land
Village land
Reserved

Kulingana na land act inavyosema, ni tofauti na ulichokiandika....
Kati ya hzo zote, village land tu pekeake ndio haina mambo mengi km ilivyoandikwa hapa
Code:
We ni muongo...sijui unatudanganya hapa eti mara hivi mara vile, wengi wenu mnamiliki village land, hko kwngine mnapaogopa kisa kuna ishu za hati na unapewa mda flani..km squater vile...

Anyway!! Am off
Asa unakubali nn unakataa nini??
We kweli pang'ang'a.
Ila bado hujanionesha mahala palipoandikwa kukodishiwa ardhi.
 
Can u sell the land,,or use it to take a loan from bank as your security??
Kama unauliza kuhusu Tanzania unaweza kuweka kiwanja ama ardhi yako km rehani benki ili upate mkopo.
Na kama wataka kuuza unauza na kupeana hati miliki na mnunuzi.
 
Hayo mambo ya kwamba usipolipa utapokonywa unayaleta wewe...manake sidhani km kuna mkenya kayasema hayo..labda uwe una zuga tu...

Byda nani kakwambia km watanzania wana rent ardhi kutoka kw serikali...
Jombaaa, wacha kujitoa ufahamu, hapa tunaongelea leasing...
Na katika pachiko ilielezwa vizuri, mtu ana lease kutoka miaka 33, mpka 99..

Sasa nataka uje unieleze hyo leasing inamaana gani
Huyo hajui difference between leasing and renting. Haya maneno mawili yanamchanganya
 
Hakuna sehem article ya Tanzania land act inasema kuwa we lease land for 33 ,66 or 99 years.
Acha kujichanganya man.
Unapokodisha kama haujalipia inamaana utapokonywa kitu ulichokodi .

SURA YA PILI
MASUALA MUHIMU KATIKA SERA NA SHERIA ZA ARDHI NCHINI TANZANIA
SERA YA TAIFA YA ARDHI YA 1995
Sera hii inaweka kanuni za msingi zinazotawala mfumo mzima wa umiliki, usimamizi na matumizi ya ardhi nchini. Kanuni hizo ni pamoja na:-
· Kutambua kuwa ardhi yote ya Tanzania ni mali ya umma na kuwa imewekwa mikononi mwa Rais kama mdhamini kwa niaba ya raia wote.
· Kulipa fidia kamili, ya haki na kwa wakati kwa mtu yeyote ambaye haki miliki inafutwa matumizi yake.Pia kuwezesha ardhi kugawiwa kwa haki na kupatikana kwa raia wote
· Kuwawezesha raia wote kushiriki katika kutoa maamuzi ya mambo yanayohusiana na milki au matumizi yao ya ardhi.
· Haki ya kila mwanamke kupata,kumiliki,kutumia na kuuza au kuigawa ardhi kuwa sawa na haki ya mwanaume yeyote kwa viwango na masharti sawa
SHERIA ZA ARDHI ZA MWAKA 1999 NA SHERIA ZINGINE ZENYE MGUSO KATIKA ARDHI.
Maana ya ardhi
Ardhi ni ile inayojumuisha vitu vyote vilivyo juu na chini ya uso wa nchi vikiwemo majengo, uoto wa asili na maendelezo yote yaliyofanywa isipokuwa madini na bidhaa za mafuta na gesi.
Makundi ya ardhi
Ardhi imegawanyika katika makundi matatu ambayo ni:-
1. Ardhi ya kawaida/jumla: ni ardhi yote ya umma ambayo siyo ardhi ya hifadhi wala ardhi ya kijiji. Hata hivyo, kwa mujibu wa sheria ya ardhi Na.4,1999 inajumuisha ardhi ya kijiji ambayo haikaliwi wala kutumiwa na wanavijiji. Kamishna wa ardhi ndiye msimamizi wa kundi hili la ardhi.
2. Ardhi Hifadhi: ni ardhi iliyotengwa kwa shughuli maalumu kama vile hifadhi za misitu, barabara, vyanzo vya maji nk. Kundi hili liko chini ya usimamizi wa mamlaka mbalimbali za aina ya ardhi husika.
3. Ardhi ya Kijiji: hii ni ardhi iliyo ndani ya kijiji kilichosajiliwa na kubainishwa mipaka. Kwa mujibu wa sheria ya serikali za mitaa (Mamlaka za Wilaya), ya mwaka 1982 na kuwa chini ya usimamizi wa Halmashari ya Kijiji. Pia ardhi ya kijiji ni ardhi iliyotengwa chini ya sheria ya uundwaji wa vijiji,1965.Vilevile, ardhi ya kijiji ni ardhi ambayo si hifadhi, na kwa muda wa miaka kumi na miwili kabla ya sheria ya ardhi ya vijiji,Na.5 kutungwa, wanakijiji wamekuwa wanaikalia na kuitumia kama ardhi ya kijiji na pasipo kuwepo na aina yoyote ya umiliki au matumizi kabla au wakati wa ya kipindi hicho
MFUMO YA UMILIKAJI WA ARDHI
Kuna aina kuu mbili za umilikaji wa ardhi nchini Tanzania
· Umilikaji ardhi kimila: Huu ni utaratibu wa umilikaji ardhi kwa kufuata taratibu za kimila na desturi za jamii husika. Aina hii ya umiliki hutumika katika ardhi ya kijiji kama ilivyobainishwa katika sheria ya ardhi ya vijiji Na.5,1999
· Umilikaji ardhi kwa Hati: huu ni utaratibu wa hati unaotumika na kutolewa katika kundi la ardhi ya kawaida/jumla. Katika utaratibu huu mtu anaweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 33, 66 au 99 na anakuwa na hadhi ya upangaji.
Upatikanaji wa Ardhi
Ardhi inaweza kupatikana kwa njia zifuatazo:-
i. Kurithi
ii. Kusafisha pori/eneo lisilo na mmiliki
iii. Kununua
iv. Kupewa zawadi
v. Kugawiwa na serikali
Mamlaka za usimamizi wa ardhi
1. Halmashauri ya Kijiji- Hii haimaanishi kuwa Halmashauri ya Kijiji ni mmiliki wa ardhi ya kijiji bali ni msimamizi tu na haina mamlaka ya kugawa ardhi au kutoa ruhusa ya kutumia ardhi kimila bila idhini ya mkutano mkuu wa kijiji.
2. Mkutano Mkuu wa Kijiji- ndicho chombo chenye madaraka ya juu kijijini juu ya masuala yote ya yakiwepo masuala ya ardhi kama vile kuthibitisha na kukubali au kukataa maombi ya ardhi ya kijiji.
3. Kamishna wa Ardhi- ndiye mtendaji na msimamizi mkuu wa makundi yote ya ardhi na amepewa majukumu ya kiushauri kwenye ardhi ya vijiji.

Ebu soma vema.
Hiyo miaka 33,66 na 99 ni muda wa hati miliki.
Halafu panda juu kasome ardhi ya jumla ikoje.
Na hii wala haikuondolei umiliki wa ardhi yako bali huleta shida tu ktk ulipaji kodi TRA basi.
Asa sijui wapi tunakodishiwa ardhi ebu nitafutie neno kuwa tunakodishiwa ardhi.
Na soma aina za upatikanaji wa ardhi.
Halafu usiwe kichaa kiasi hiko Tz wapo wanao rent ardhi serikalini ktk shirik la nyumba la taifa NHC.
punguza miraa na gongo buddah.
PhotoGrid_1570827185762.jpg
 
Hakuna sehem article ya Tanzania land act inasema kuwa we lease land for 33 ,66 or 99 years.
Acha kujichanganya man.
Unapokodisha kama haujalipia inamaana utapokonywa kitu ulichokodi .

SURA YA PILI
MASUALA MUHIMU KATIKA SERA NA SHERIA ZA ARDHI NCHINI TANZANIA
SERA YA TAIFA YA ARDHI YA 1995
Sera hii inaweka kanuni za msingi zinazotawala mfumo mzima wa umiliki, usimamizi na matumizi ya ardhi nchini. Kanuni hizo ni pamoja na:-
· Kutambua kuwa ardhi yote ya Tanzania ni mali ya umma na kuwa imewekwa mikononi mwa Rais kama mdhamini kwa niaba ya raia wote.
· Kulipa fidia kamili, ya haki na kwa wakati kwa mtu yeyote ambaye haki miliki inafutwa matumizi yake.Pia kuwezesha ardhi kugawiwa kwa haki na kupatikana kwa raia wote
· Kuwawezesha raia wote kushiriki katika kutoa maamuzi ya mambo yanayohusiana na milki au matumizi yao ya ardhi.
· Haki ya kila mwanamke kupata,kumiliki,kutumia na kuuza au kuigawa ardhi kuwa sawa na haki ya mwanaume yeyote kwa viwango na masharti sawa
SHERIA ZA ARDHI ZA MWAKA 1999 NA SHERIA ZINGINE ZENYE MGUSO KATIKA ARDHI.
Maana ya ardhi
Ardhi ni ile inayojumuisha vitu vyote vilivyo juu na chini ya uso wa nchi vikiwemo majengo, uoto wa asili na maendelezo yote yaliyofanywa isipokuwa madini na bidhaa za mafuta na gesi.
Makundi ya ardhi
Ardhi imegawanyika katika makundi matatu ambayo ni:-
1. Ardhi ya kawaida/jumla: ni ardhi yote ya umma ambayo siyo ardhi ya hifadhi wala ardhi ya kijiji. Hata hivyo, kwa mujibu wa sheria ya ardhi Na.4,1999 inajumuisha ardhi ya kijiji ambayo haikaliwi wala kutumiwa na wanavijiji. Kamishna wa ardhi ndiye msimamizi wa kundi hili la ardhi.
2. Ardhi Hifadhi: ni ardhi iliyotengwa kwa shughuli maalumu kama vile hifadhi za misitu, barabara, vyanzo vya maji nk. Kundi hili liko chini ya usimamizi wa mamlaka mbalimbali za aina ya ardhi husika.
3. Ardhi ya Kijiji: hii ni ardhi iliyo ndani ya kijiji kilichosajiliwa na kubainishwa mipaka. Kwa mujibu wa sheria ya serikali za mitaa (Mamlaka za Wilaya), ya mwaka 1982 na kuwa chini ya usimamizi wa Halmashari ya Kijiji. Pia ardhi ya kijiji ni ardhi iliyotengwa chini ya sheria ya uundwaji wa vijiji,1965.Vilevile, ardhi ya kijiji ni ardhi ambayo si hifadhi, na kwa muda wa miaka kumi na miwili kabla ya sheria ya ardhi ya vijiji,Na.5 kutungwa, wanakijiji wamekuwa wanaikalia na kuitumia kama ardhi ya kijiji na pasipo kuwepo na aina yoyote ya umiliki au matumizi kabla au wakati wa ya kipindi hicho
MFUMO YA UMILIKAJI WA ARDHI
Kuna aina kuu mbili za umilikaji wa ardhi nchini Tanzania
· Umilikaji ardhi kimila: Huu ni utaratibu wa umilikaji ardhi kwa kufuata taratibu za kimila na desturi za jamii husika. Aina hii ya umiliki hutumika katika ardhi ya kijiji kama ilivyobainishwa katika sheria ya ardhi ya vijiji Na.5,1999
· Umilikaji ardhi kwa Hati: huu ni utaratibu wa hati unaotumika na kutolewa katika kundi la ardhi ya kawaida/jumla. Katika utaratibu huu mtu anaweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 33, 66 au 99 na anakuwa na hadhi ya upangaji.
Upatikanaji wa Ardhi
Ardhi inaweza kupatikana kwa njia zifuatazo:-
i. Kurithi
ii. Kusafisha pori/eneo lisilo na mmiliki
iii. Kununua
iv. Kupewa zawadi
v. Kugawiwa na serikali
Mamlaka za usimamizi wa ardhi
1. Halmashauri ya Kijiji- Hii haimaanishi kuwa Halmashauri ya Kijiji ni mmiliki wa ardhi ya kijiji bali ni msimamizi tu na haina mamlaka ya kugawa ardhi au kutoa ruhusa ya kutumia ardhi kimila bila idhini ya mkutano mkuu wa kijiji.
2. Mkutano Mkuu wa Kijiji- ndicho chombo chenye madaraka ya juu kijijini juu ya masuala yote ya yakiwepo masuala ya ardhi kama vile kuthibitisha na kukubali au kukataa maombi ya ardhi ya kijiji.
3. Kamishna wa Ardhi- ndiye mtendaji na msimamizi mkuu wa makundi yote ya ardhi na amepewa majukumu ya kiushauri kwenye ardhi ya vijiji.

Ebu soma vema.
Hiyo miaka 33,66 na 99 ni muda wa hati miliki.
Halafu panda juu kasome ardhi ya jumla ikoje.
Na hii wala haikuondolei umiliki wa ardhi yako bali huleta shida tu ktk ulipaji kodi TRA basi.
Asa sijui wapi tunakodishiwa ardhi ebu nitafutie neno kuwa tunakodishiwa ardhi.
Na soma aina za upatikanaji wa ardhi.
Halafu usiwe kichaa kiasi hiko Tz wapo wanao rent ardhi serikalini ktk shirik la nyumba la taifa NHC.
punguza miraa na gongo buddah.
Now this is the most interesting part. Kule vijijini, ardhi yote inasimamiwa na Almashauri ya Ardhi, wala si watu binafsi. Yani huwezi ukasema eti unamiliki kipande cha ardhi kijijini sehemu fulani, bali ni ya wanavijiji wote chini ya hiyo Almashauri ya Ardhi. Hata Ukitaka kufanya kitu chochote kwenye ardhi kule kijijini, ni lazima upate kibali kutoka kwa hiyo Almashauri ya Ardhi!! Hii si ni utumwa???

PhotoGrid_1570827721069.jpg


Alafu wanakuja hapa na porojo za "Wakenya wengi hawana mamlaka ya kumiliki ardhi" wakati mambo kule kwao ni ya kuhuzunisha!
 
wakat mwingine inatakiwa kumpuuza mtu tu. Mtu ni mkenya anataka kutumia maandishi kukuaminisha mambo yaliyopo Tanzania ambayo si ya kweli kwa mtanzania
Na nyinyi mnaposema mambo yasiyokuwa ya kweli kuhusu Kenya mnasahau kwamba nyinyi ni watanzania na kwamba sisi wakenya ndio tunajua ukweli?
 
Back
Top Bottom