Kaka jibu swali nilokuuliza.
Ku lease ardhi labda uwe unataka ardhi ya NHC(National Housing Corporation ) ukiwa na ardhi yao itabidi uilipie na ukishindwa wanasepa nayo labda uinunue ukiweza na uwe na hati miliki ya hiyo ardhi.
SINA NILICHOKIBAKIZA KWAHERI.
Ku lease ardhi labda uwe unataka ardhi ya NHC(National Housing Corporation ) ukiwa na ardhi yao itabidi uilipie na ukishindwa wanasepa nayo labda uinunue ukiweza na uwe na hati miliki ya hiyo ardhi.
SINA NILICHOKIBAKIZA KWAHERI.
Kwhyo zile habari za ku lease ardhi ni urongo, ama ubapinga