tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Wewe unafikiri uku tz kuna mkazo sana kwenye lugha ya malkia?ukute mtu kamaliza degree kabisa lakini kuongea anauma maneno Ila mpe paper aandike proposal Au issue yoyotekwa kingereza utashangaa.....hauna aibu ukisema 'form 4 leaver' ??? karibu Kenya uone mtoto yuko baby class ushangae.
Uyo mond anajitahid muacheni alpige izo broken hadi ajue


