Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

SMH..
2e0107524c067b9ad65df010ae1c2da9.jpg
Dude photos za ugali zilidedi ama
 
Unategemea form 4 leaver ateme yai gani?tena kajitahidi sana

Sio lazima ajue kila kitu kuimba yu inatosha na icho kipaji cha biashara
hauna aibu ukisema 'form 4 leaver' ??? karibu Kenya uone mtoto yuko baby class ushangae.
 
hauna aibu ukisema 'form 4 leaver' ??? karibu Kenya uone mtoto yuko baby class ushangae.
english siyo lugha yetu hvyo hata hiyo haibu hatuna .......kwanj hata hao wenye hiyo english hawakijui kiswahili....so acha ushamba.....

kwetu english si kitu....
 
Diamond angeshindwa kuzungumza kiswahili ningeshangaa lakini kingereza wala sishangai sababu sio lugha yetu .mbona hata ninyi kiswahili kinawapiga chenga kuanzia Uhuru na nguruwe wake
Kiswahili yenyewe ilianzia Kenya. kisha nyinyi (inferiors) mukatuigizia. bakini nayo basi. tumeinvent Sheng sasa. hatutaki kukuwa associated na inferiors
 
english siyo lugha yetu hvyo hata hiyo haibu hatuna .......kwanj hata hao wenye hiyo english hawakijui kiswahili....so acha ushamba.....

kwetu english si kitu....
vizuri. kama hujui lugha wachana nayo... usilazimishe
 
Diamond angeshindwa kuzungumza kiswahili ningeshangaa lakini kingereza wala sishangai sababu sio lugha yetu .mbona hata ninyi kiswahili kinawapiga chenga kuanzia Uhuru na nguruwe wake
Wakenya wanajua kiswahili ni vile tunaongea sheng umeskia we dem
 
Kiswahili yenyewe ilianzia Kenya. kisha nyinyi (inferiors) mukatuigizia. bakini nayo basi. tumeinvent Sheng sasa. hatutaki kukuwa associated na inferiors
kama bibi yako alikianzisha kenya sawa
.......baki na makaratasi yako
 
vizuri. kama hujui lugha wachana nayo... usilazimishe
english kwetu si ya ulazima mbona uko mnakua nayo hafu kuna maboya wanaongea bloken kama kama....na machjzi wenu wanaoshinda dampo wanakiongea

hiyo ni lugha ya kawaida kama nyingine wasouth africa na egypt kuna jopo la watu wengi english hawajui acha utumwa acha ushamba....kijana haujabarehe nini
 
Back
Top Bottom