Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,857
- 103,716
Kama hizo ndio nyumba za masikini Dar then people must be so poor in Dar coz 80% of your city looks exactly like that. And you still wonder why Nairobi is richer!Yani maskini wa tz anakushangaza adi wew kwamba anaweza miliki nyumba, ila maskini wenu anamiliki mabati![]()
It's technology my friend. If it were that easy as you imply, every building would be having itCapable? Hiyo ni illumination ya rangi tu mkenya, hata ukuta wa nyumbani kwako unaweza ukaufanya hivyo ukitaka elimikeni jamani.
IQ yangu hainiruhusu kujadiliana na vichwa maji Kama weweUmesha nunua simu nyingine au bado pesa yako unaitumia kununua bangi...??Naona wewe mgomo haukuhusu
![]()



Wewe unaporudia zile picha za three blue towers nini kinastaajabisha?Yan wakenya bana yani kwenu inaonekana rangi ni kitu ya ajabu Sana Sasa Hapo Nini kinastaajabisha.
Huyo mwenzenu unayemzungumzia ni yupi? Nixcie? lol, sitawahi kumjibu vizuri huyo mbwa aliyekosa mfugaji. Na ninaheshimu upendo ulionao kwa waafrika wenzako lakini kulinganisha Dar na mombasa unakosea tena sana.Si ushabiki wa kijinga. yetu ni kuwakumbusha kuwa Kenya ndio pacesetters kwa huu ukanda. Jambo ambalo hamtaki kuamini na kujibu kwa matusi ama kusema "dar is better than Nairobi." Hiyo ndio tutaita "ushabiki wa kijinga" ambayo haimbatani na facts wala reason bali ni chuki na wivu tu. Hizo video niweka hapo kwa kuwa ulimjibu mwenzetu kwa dharau ndiposa nikakuuliza kama mmetekeleza hiyo teknolojia kwa kuwa Nairobi iko nazo kwa gorofa kadhaa. Using LEDs and projectors to illuminate buildings on that scale is a relatively new concept not just in EA but across the world. Leave alone kutengeza uniforms patterns. It removes the dullness of cities at night kwa hivyo ni jambo la kujivunia.
Mimi huwa niko objective sana kwa vile naangalia mambo. Najua Dar vizuri sana na napenda organization na utu ambao uko huko. You have very beautiful new buildings, music, food and women. Najua Dar pia itaja kuwa tajiri sana kwenye miaka inayokuja. Also, kumbuka pia tables turn ikifika kwa economics, kesho twaeza amka tupate currency yetu na GDP imeanguka kwa asilimia kubwa na nyinyi mbaki sawa. Lakini in the meantime, let us brag na nyinyi mkubali kuwa miundu msingi yetu iko international level na ni waAfrika ambao wana enjoy bali si wazungu, hata kama kuna 20+ slums ndani ya mji. Na pia mkubali kuwa Dar na Mombasa hazijaachana kwa mbali. Mko ligi moja kwa sasa bali si na Nairobi.
Ahahaha yeah unaongea sana kijna, ulisema jangwani pako hvyo ukapewa picha ya jangwani pamevunjwa hamna kitu, ukasema kijitonyama mim nilikuletea picha mbili za chini na juu kukuonyesha kijito nyama mpya, juzi ulipewa video ya mtoni kijichi mpya ilokarabatiwa vizur na nyumba za maana ukaanza tetema na sasa natafuta picha ya tandale uone tandale inavyobomolewa na kukarabatiwa ujue kuwa dar haipo hvi, so mapicha yako ya 80s baki nayo. Sibishani na wew tena mzee amini unachokiamini sis tunakarabati nyie ongezeni slumsKama hizo ndio nyumba za masikini Dar then people must be so poor in Dar coz 80% of your city looks exactly like that. And you still wonder why Nairobi is richer!
Of course zinabomolewa tu kwa akili zenu coz google earth images show a totally different thing .... Dar 80% ni dream houses tu, hakuna jipya. Ama zilianza kubomolewa jana? So google earth inaonyesha picha za 80s? 😂 😂 Being a danganyikan in a big diseaseAhahaha yeah unaongea sana kijna, ulisema jangwani pako hvyo ukapewa picha ya jangwani pamevunjwa hamna kitu, ukasema kijitonyama mim nilikuletea picha mbili za chini na juu kukuonyesha kijito nyama mpya, juzi ulipewa video ya mtoni kijichi mpya ilokarabatiwa vizur na nyumba za maana ukaanza tetema na sasa natafuta picha ya tandale uone tandale inavyobomolewa na kukarabatiwa ujue kuwa dar haipo hvi, so mapicha yako ya 80s baki nayo. Sibishani na wew tena mzee amini unachokiamini sis tunakarabati nyie ongezeni slums
Of course zinabomolewa tu kwa akili zenu coz google earth images show a totally different thing .... Dar 80% ni dream houses tu, hakuna jipya. Ama zilianza kubomolewa jana? So google earth inaonyesha picha za 80s?![]()
Being a danganyikan in a big disease
taka taka hii ndo unataka kufananisha na kigamboni bridge?View attachment 1222767
So google earth sio reality 😂 😂 😂Who cares abt google earth? Tumekuletea live and clear images and videos. So amini mambo ya kufikirika au reality tulokuonesha hapa bila chenga its up to you
😂😂😂niliona nikacheka mpaka basi...😂😂😂Imezidiwa hata na daraja la mto mara pale Musoma
Du msaafu 🏃Any reputable forum around the world huwa watu wana compare notes kwa kuwa waeza pata mahali ambapo wanakosea ama kuona mahali ambapo they're on a good track. Na pia kuweza kuulizia majibu ya mambo ambayo hawaelewi. Lakini mkibashana tu unadhani tutaeza aje pogress ama itakuwa kujaribu kuvutana chini? kitu ambacho tunajua vizuri "there's power in unity" na pia "when you run alone, you run fast, but when you run with other people, you run far." For instance, you're in a hurry to build an SGR to win over Kenya's business from C. Afrika. Same goes for airlines; they're becoming too many and the worst thing is that they're being supported by governments instead of bringing revenues to the governent. We seem to forget a simple business principle of "economies of scale." We might think that we are progressing, lakini its simply the foreigners who are trying to make the movements of their products and business more efficient throughout the African continent. Kwa mfano, mbona wanatupa loans na bado wanaleta imports zinazouwa viwanda vyetu? wanasema huezi kuingia soko zao bila kupartner na local companies but wanatilt deal to their favor, yet wanakuja hapa na kutupatia a token of what they take back. Tunafaa kujiuliza vipi tutatua mambo kama hayo kwa ukanda wetu bali si ubishi.
Alafu anazani tunasoma anayo andika..😂😂😂😂 Humu watu tunataka maneno kidogo na picha...🤔🤔Du msaafu 🏃
#TUNATEKELEZA...Uwanja mpya kujengwa Mwenge.... Billion 3 zipo mezani tiyali.
Tunaongelea Dar wewe unatuletea mambo ya Mombasa...😂😂😂 Hii ni Dodoma...Utaongoza Africa mashariki na kati kwa ukubwa😂😂😂👇👇👇![]()
International stadium set to be constructed in Mombasa
Mombasa county government is set to upgrade the Mombasa Stadium to an international standard.The governor Hassan Joho-government has set aside a budget of Sh1.2 billion for the project that ...hivisasa.com