Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hazina mvuto kama hizi dream houses ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
View attachment 1221951View attachment 1221953
Mtoto akililia wembe mpe๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
dc323a1ec1c7477da833aa7212943aba.jpg
Dh2DVyR3Hskibe.jpeg
Kibera_Nairobi_Kenya_slums_shanty_town_October_2008.jpg
dd8af22a6940092d72f598def39c8e2c--slums-nairobi.jpg
 
Yani kaka zile dream houses ni za maisha ya chini ya watu wa Tanzania.
Ni sawa na kulinganisha na slums kwasababu slums za Nairobi ndio sehem za wakaao maisha ya chini ya Wakenya.
Inamaana mtu mwenye maisha ya chini wa Tz anafaidi maisha ktk dream house kuliko mtu mwenye maisha ya chini wa kenya aishie ktk slums.
Hao hawana maisha tofauti na nguruwe...๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Haya ni maisha ndani ya Nairobi au ndo kufilimba...๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Screenshot_20191002-204136.png
 
Hao hawana maisha tofauti na nguruwe...
Bro niliona soko lao la watu wa hali ya chini wa kenya lile soko la kariobangi nikimpeleka paka wangu anatapika hata punda wangu anagoma kupita pale pachafu kichizi hata nguruwe anapakimbia aisee.

Nikasema wacha nifananishe na soko la watu wa hali ya chini la Tandika ambako Nexcie alikua anapasema kuwa ni slums.
Wow nilishangaa!!!
Ebu tizama kaka!!!
Hawa jamaa wana maisha mabbayyaaaa sijawahi ona!!!
Kenya haina tofauti na India.


Kariobangi soko la watu wa kipato cha chini vs Tandika soko la watu wa kipato cha chini.
kariobangi-nairobi-kenya-EFGKT2.jpeg
IMG_2054.JPG
D9aFn3UWsAErU-0.jpeg
 
Nimekwambia zoom au nikusaidie na hilo Hizi ndo dream house zetu
1.Sinza city of DarView attachment 1222011
2.Kinondoni City of DarView attachment 1222012
3.Tandale city of DarView attachment 1222014
Niendelee
Ndio maana nikawa namsisitiza ndugu yangu jirani yangu asione kwa juu nyumba zimekaa random akazichukulia poa.
Ni nzuri kichizi mpk na sasa siku hz zinakuwa connected na tarmac mitaani.
Mimi mpk nikamuuliza kwa msisitizo "umefika sinza ndugu yangu jirani yangu kipenzi"???
 
Bro niliona soko lao la watu wa hali ya chini wa kenya lile soko la kariobangi nikimpeleka paka wangu anatapika hata punda wangu anagoma kupita pale pachafu kichizi hata nguruwe anapakimbia aisee.

Nikasema wacha nifananishe na soko la watu wa hali ya chini la Tandika ambako Nexcie alikua anapasema kuwa ni slums.
Wow nilishangaa!!!
Ebu tizama kaka!!!
Hawa jamaa wana maisha mabbayyaaaa sijawahi ona!!!
Kenya haina tofauti na India.


Kariobangi soko la watu wa kipato cha chini vs Tandika soko la watu wa kipato cha chini.View attachment 1222027View attachment 1222028View attachment 1222030
wakenya ni kunguni tupu
 
wakuu nimegundua kitu wakenya wMepanic hayari mpaka raha yaaani mpaka mzomb yamefufuka

i love nairobi modern city like this
View attachment 1222033
Asa kaka nitafutie Sehemu yeyote Dar es salaam kwa sasa iliyopo hvyo maana km msimbazi wanapavunja na Tandale niliona magreda na vifaa vya ujenzi wanapavunja kule mto wa ng'ombe.
 
wakenya ni kunguni tupu
Yani kaka we acha tu hawa jamaa inabidi ifike kipindi wapunguze sifa za kipumbavu na wajielewe sio kusifia majengo ilhali hali ya maisha ni ngumu.
Jamaa siwachukii ila wanakera kupenda battle za kipumbavu nimekua nikiwafatilia sana hawa yani kupenda kujiona superior kuliko wengine wanajikweza sana ilhali wenzao Tz hatuko hivyo.
 
Baadae usiseme usiku mwema.
Zoom hivi kama mimi
1.Kibera slum city of NairobiView attachment 1221982
2.Mathare Valley slum city of NairobiView attachment 1221984
3.Dandora slum city of NairobiView attachment 1221985
4.Kawangware slum city of NairobiView attachment 1221988
5.Korogosho slum city of NairobiView attachment 1221991
6.Mukuru kwa Njenga slum city of NairobiView attachment 1221994
Niendeleee nipeni jibu..??
Nimezoom hapo nimeona nyumba za mabati tu!
 
Back
Top Bottom