Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shida yenu ni kusema "pia sis tuaneza fanya hivyo" lakini hakuna siku mshawahi fanya. Hii technology ni geni kwenu, kuja Nairobi usiku uone vile buildings zinaglow. Hapa ni Tokyo babaaa




Kuna ushabiki wa kijinga ulionao kichwani ambao lazima nikwambie. Nimemuelimisha kondoo wenu kuwa that is not the only building capable of being illuminated that way in East Africa halafu wewe unakuja na jazba zako kuniambia kuwa hatuna teknolojia ya kufanya vivyo hivyo. Usijiaibishe tafadhali! hata kama sikufahamu lakini kwa mtazamo wangu nadhani nimeona maghorofa marefu yakiwa illuminated kabla yako na haimaanishi kuwa Tanzania hatuwezi kufanya hivyo. Na hata hivyo, how does illumination make nairobi any better? inaongeza nini au kupunguza nini? acheni USHAMBA!
 
how about 2013 for 80% ukicompare na sasa 2018-2019, kwenye tourism,,,?..au obama kashakufa.....?.... vipi hamkuona umuhimu wake mpaka alipokuwa president....?

ila unanisikitisha mzee unajaribu kufunika kombe ila haupo serious unaongea ujinga ndiyo maana obama aliwakataa kwa kusema yeye ni mmarekani na si mkenya maana mnaujinga mwingi

nyie wakenya ni wanafki
Obama was here last year,and FYI i never said he is a Kenyan i said his father was a Kenyan however the man always says he is a Kenyan but we never ask him to brag about it,so whatever you are consuming is either illegal or harmful to your health.
Obama.PNG
 
Obama was here last year,and FYI i never said he is a Kenyan i said his father was a Kenyan however the man always says he is a Kenyan but we never ask him to brag about it,so whatever you are consuming is either illegal or harmful to your health.View attachment 1222653
"We never ask him to brag about it" 😂 😂 😂 😂 😂 this is the funniest thing I've read today. Ukiwa na nani ndio mnafikiri kutomuask kubrag about being Kenyan? bibi yake? Michelle? Natasha? Malia?Obama hata hakujui yaani.
 
Badala ya kujaza povu ningeomba uje na facts kwanza. First, both Kigamboni and MSA gate pass over creeks. However, the Mwenza Creek of MSA is much deeper compared to Kurasini ya Kigamboni. Actually, its depth is more or less like that of an average river that's why they opted to have 14 pillars which is simple, less sophisticated and of course much cheaper. Yaani kuchimba tu and kujaza korogo 🤣 🤣 It's length is exactly 680M and a width of 22m. For MSA gate, there's a lot of sophistication considering its height. Nusu ya hizo skyscrapper zenu nne. It's also important to note that it's 2M wider than Kigamboni. For MSA Gate, the Mwenza creek alone 600M wide hence the span between the two pillars. So I wonder hii data ya 450M umetoa wapi. Most likely ni ya kupika kwenye photoshop ili kumfurahisha mtukufu JPM. The rest of the distance to make it 1.4km is on the shores because of its elevation. It's not as short as you protray kwa hiyo drawing yako.

View attachment 1222557

Hii Kigamboni labda ibishane na Nyali bridge (six lanes). Ile kitu imekosa ni hizo cables tu. Interestingly span yake ndefu kabisa ni 150M over 40M za Kigamboni which puts into question the need for those cables. Ama ni maua tu? the best designed bridge EA ndo hii hapa juu ya Tana River (Kenya).

View attachment 1222587
Tana River bridge...😂😂😂👇👇👇 Show me a car crossing that bridge...Hivi kweli gari zinapita hapo...Huoni hata aibu kuweka hako kadaraja...😂😂😂
Screenshot_20191003-161757.png
 
Si ushabiki wa kijinga. yetu ni kuwakumbusha kuwa Kenya ndio pacesetters kwa huu ukanda. Jambo ambalo hamtaki kuamini na kujibu kwa matusi ama kusema "dar is better than Nairobi." Hiyo ndio tutaita "ushabiki wa kijinga" ambayo haimbatani na facts wala reason bali ni chuki na wivu tu. Hizo video niweka hapo kwa kuwa ulimjibu mwenzetu kwa dharau ndiposa nikakuuliza kama mmetekeleza hiyo teknolojia kwa kuwa Nairobi iko nazo kwa gorofa kadhaa. Using LEDs and projectors to illuminate buildings on that scale is a relatively new concept not just in EA but across the world. Leave alone kutengeza uniforms patterns. It removes the dullness of cities at night kwa hivyo ni jambo la kujivunia.
Mimi huwa niko objective sana kwa vile naangalia mambo. Najua Dar vizuri sana na napenda organization na utu ambao uko huko. You have very beautiful new buildings, music, food and women. Najua Dar pia itaja kuwa tajiri sana kwenye miaka inayokuja. Also, kumbuka pia tables turn ikifika kwa economics, kesho twaeza amka tupate currency yetu na GDP imeanguka kwa asilimia kubwa na nyinyi mbaki sawa. Lakini in the meantime, let us brag na nyinyi mkubali kuwa miundu msingi yetu iko international level na ni waAfrika ambao wana enjoy bali si wazungu, hata kama kuna 20+ slums ndani ya mji. Na pia mkubali kuwa Dar na Mombasa hazijaachana kwa mbali. Mko ligi moja kwa sasa bali si na Nairobi.

Kuna ushabiki wa kijinga ulionao kichwani ambao lazima nikwambie. Nimemuelimisha kondoo wenu kuwa that is not the only building capable of being illuminated that way in East Africa halafu wewe unakuja na jazba zako kuniambia kuwa hatuna teknolojia ya kufanya vivyo hivyo. Usijiaibishe tafadhali! hata kama sikufahamu lakini kwa mtazamo wangu nadhani nimeona maghorofa marefu yakiwa illuminated kabla yako na haimaanishi kuwa Tanzania hatuwezi kufanya hivyo. Na hata hivyo, how does illumination make nairobi any better? inaongeza nini au kupunguza nini? acheni USHAMBA!
 
Badala ya kujaza povu ningeomba uje na facts kwanza. First, both Kigamboni and MSA gate pass over creeks. However, the Mwenza Creek of MSA is much deeper compared to Kurasini ya Kigamboni. Actually, its depth is more or less like that of an average river that's why they opted to have 14 pillars which is simple, less sophisticated and of course much cheaper. Yaani kuchimba tu and kujaza korogo 🤣 🤣 It's length is exactly 680M and a width of 22m. For MSA gate, there's a lot of sophistication considering its height. Nusu ya hizo skyscrapper zenu nne. It's also important to note that it's 2M wider than Kigamboni. For MSA Gate, the Mwenza creek alone 600M wide hence the span between the two pillars. So I wonder hii data ya 450M umetoa wapi. Most likely ni ya kupika kwenye photoshop ili kumfurahisha mtukufu JPM. The rest of the distance to make it 1.4km is on the shores because of its elevation. It's not as short as you protray kwa hiyo drawing yako.

View attachment 1222557

Hii Kigamboni labda ibishane na Nyali bridge (six lanes). Ile kitu imekosa ni hizo cables tu. Interestingly span yake ndefu kabisa ni 150M over 40M za Kigamboni which puts into question the need for those cables. Ama ni maua tu? the best designed bridge EA ndo hii hapa juu ya Tana River (Kenya).

View attachment 1222587
taka taka hii ndo unataka kufananisha na kigamboni bridge? 🤷🏾‍♂️
Screenshot_20191003-174437.png
 
Any reputable forum around the world huwa watu wana compare notes kwa kuwa waeza pata mahali ambapo wanakosea ama kuona mahali ambapo they're on a good track. Na pia kuweza kuulizia majibu ya mambo ambayo hawaelewi. Lakini mkibashana tu unadhani tutaeza aje pogress ama itakuwa kujaribu kuvutana chini? kitu ambacho tunajua vizuri "there's power in unity" na pia "when you run alone, you run fast, but when you run with other people, you run far." For instance, you're in a hurry to build an SGR to win over Kenya's business from C. Afrika. Same goes for airlines; they're becoming too many and the worst thing is that they're being supported by governments instead of bringing revenues to the governent. We seem to forget a simple business principle of "economies of scale." We might think that we are progressing, lakini its simply the foreigners who are trying to make the movements of their products and business more efficient throughout the African continent. Kwa mfano, mbona wanatupa loans na bado wanaleta imports zinazouwa viwanda vyetu? wanasema huezi kuingia soko zao bila kupartner na local companies but wanatilt deal to their favor, yet wanakuja hapa na kutupatia a token of what they take back. Tunafaa kujiuliza vipi tutatua mambo kama hayo kwa ukanda wetu bali si ubishi.
 
Any reputable forum around the world huwa watu wana compare notes kwa kuwa waeza pata mahali ambapo wanakosea ama kuona mahali ambapo they're on a good track. Na pia kuweza kuulizia majibu ya mambo ambayo hawaelewi. Lakini mkibashana tu unadhani tutaeza aje pogress ama itakuwa kujaribu kuvutana chini? kitu ambacho tunajua vizuri "there's power in unity" na pia "when you run alone, you run fast, but when you run with other people, you run far." For instance, you're in a hurry to build an SGR to win over Kenya's business from C. Afrika. Same goes for airlines; they're becoming too many and the worst thing is that they're being supported by governments instead of bringing revenues to the governent. We seem to forget a simple business principle of "economies of scale." We might think that we are progressing, lakini its simply the foreigners who are trying to make the movements of their products and business more efficient throughout the African continent. Kwa mfano, mbona wanatupa loans na bado wanaleta imports zinazouwa viwanda vyetu? wanasema huezi kuingia soko zao bila kupartner na local companies but wanatilt deal to their favor, yet wanakuja hapa na kutupatia a token of what they take back. Tunafaa kujiuliza vipi tutatua mambo kama hayo kwa ukanda wetu bali si ubishi.
Tatizo ni undumilakuwili!

Post yako nimeikubali sana budaa..keep up this spirit. Spread it to your brethren Kenyans. Hakika Africa itafika mbali. Problem kubwa Kenya hapo ni kwa mna hesabu nzuri but mnapiga hesabu kubwa na ndefu sana! Mna angalia mbali sana hadi mnashindwa kuona chini ya Pua zenu.
 
Any reputable forum around the world huwa watu wana compare notes kwa kuwa waeza pata mahali ambapo wanakosea ama kuona mahali ambapo they're on a good track. Na pia kuweza kuulizia majibu ya mambo ambayo hawaelewi. Lakini mkibashana tu unadhani tutaeza aje pogress ama itakuwa kujaribu kuvutana chini? kitu ambacho tunajua vizuri "there's power in unity" na pia "when you run alone, you run fast, but when you run with other people, you run far." For instance, you're in a hurry to build an SGR to win over Kenya's business from C. Afrika. Same goes for airlines; they're becoming too many and the worst thing is that they're being supported by governments instead of bringing revenues to the governent. We seem to forget a simple business principle of "economies of scale." We might think that we are progressing, lakini its simply the foreigners who are trying to make the movements of their products and business more efficient throughout the African continent. Kwa mfano, mbona wanatupa loans na bado wanaleta imports zinazouwa viwanda vyetu? wanasema huezi kuingia soko zao bila kupartner na local companies but wanatilt deal to their favor, yet wanakuja hapa na kutupatia a token of what they take back. Tunafaa kujiuliza vipi tutatua mambo kama hayo kwa ukanda wetu bali si ubishi.
Ila unajitahidi sana kuchukua muda wako kuandika long meseji bila kuwa na point zenye nguvu au ni ugeni huu mtaa
 
That's a blonde tweet as much as she's a doctor akisaidiwa na wenye wanamsupport. Ona hapo kwa thread kunaye amesema "...this bridge daen look like it is in a deep channel and on the path for docking ship...looks like a well done Nyali bridge,might be wrong though. at likoni they might have to get the bridge way high." Juzi Rwanda wamejenga arena na Kenyans were all over criticizing the government forgetting we built Kasarani way back in 1987 and it's still strong and attractive till date. Kwanza they can't even turn up to support local sports kazi kutweet na hawatembei

Are you trying to compare that fort with the ultramodern Arena newly build in Kigali?
 
Back
Top Bottom