Nimesema niachieni mimi...Kwa sasa mimi nipo free for the all two weeks nakula Chicken ambae ni adimu Nairobi kuliwa...😂😂😂👇👇👇Tena video ya juzi kabisa hii, hataki kuangalia![]()


Nimesema niachieni mimi...Kwa sasa mimi nipo free for the all two weeks nakula Chicken ambae ni adimu Nairobi kuliwa...View attachment 1215330
Usiku mwema unaenda kupika Githeri....???😂😂😂👇👇👇 Nasikia huko Nairobi mtu kula chapati ni anasa...😂😂😂👇👇👇Usiku mwema wadau. Mnapoingia kupumzika usiku hu, naomba Mungu awajalie na ndoto njema ndani ya hizo dream houses
Chapati imewashinda wataweza kuku...😂😂😂👇👇👇Watakuambia hawapendi kula kuku![]()
Usiku mwema unaenda kupika Githeri....???Nasikia huko Nairobi mtu kula chapati ni anasa...
![]()












Halafu kilichonishangaza mimi ni hizo nyumba za tope hapo nairobi
wazee wa ubunifu kila siku ni nyie tu mnashusha majengo ,,hivi mmekosa wajengaji huko kenya au mnategemea mpaka mjengewe kila kitu kwenye hako kanchi kenu..
STUPID KENYAN
amother one downView attachment 1214538
Wakenya wanategemea chun chin aje ajenge ghorofa hapo nairobi,lakini wao hujenga vituko hata finishing huwa hawafanyi yaani ni kama serikali hakuna vile..kweli ni huzuni halafu wanakuja hapa wanajiiita middle economy wakati hata ujenzi tu wako sifuri.....mpaka wajengewe na white people na hapo bado yataanguka nakuanguka zaidi
maana quality zao ni hizi tungojee maafa zaidi
yaani kwa ujenzi wa takataka kama hizi NAIROBI itaporomoka kila siku
huu ni ujenzi ulio chini ya kiwango kabisa...tukisema Tz tujenge uchafu wa low quality kama mfanyavyo nyie in 5years tutajaza estate nchi nzima
huu ni uchafu
View attachment 1214565View attachment 1214566View attachment 1214567View attachment 1214568
Angalia video ya yale maeneo ambayo huwa unaokota okota aerial view zake sasa angalia hali ikoje
Tena huu ni mtaa wa raia wa kawaida tu,
Nitakuomba na mimi uniletee mitaa ya raia ya kawaida huko.
Ilala,Tabata(segerea),Mwananyamala umeshaoneshwa lakini,kisiwan kigamboni usipachezee.Nionyeshe Mabibo, Sinza, Ilala, Buguruni, Tabata, Tandale, Segerea, Kisiwani, Mwananyamala,Kusiwani, kitunda nk
Ubaya wenu wakenya mnafananisha nairobi city center kwa dar nzima yani kama vle cc hatuna cty cnta? Afu mnaenda kuokoteza vinyumba vya washua mnafananisha na kariakooMitaa nimekuonyesha ni mitaa za eastlands where the majority of Nairobians live. The houses are 100% owned by hardworking Kenyans. So your point is misplaced. Na hakuna mahali nimesema Nairobi haina life ya chini. Zipo maeneo ya life ya chini tena mingi ila tunakubali tunazo sio kama nyinyi mnaokana na kusema hamna slums wakati nusu ya jiji lenu limenyongwa na uswazi. Hiyo ndio tofauti yenu nasi. And for the second time, hizo nyumba zinamiliki na wakenya na makampuni za Kenya 100%


akat kila sehem wahua na nyumba zipo, viestates vipo. Fananisha nairobi nzima kama mkoa which includes both the poor na slums zote kama unavoichimbua dar yetu faar from the city center adi mbagala uko nje ya mji. hzo sehem unazotaja uswazi zipo mbali na city center kak 


Wacha uongo wa mchana wewe .Hii picha hapa chini inaonyesha Dar city center ilivyo ave you no shame whatsoever ?Ubaya wenu wakenya mnafananisha nairobi city center kwa dar nzima yani kama vle cc hatuna cty cnta? Afu mnaenda kuokoteza vinyumba vya washua mnafananisha na kariakooakat kila sehem wahua na nyumba zipo, viestates vipo. Fananisha nairobi nzima kama mkoa which includes both the poor na slums zote kama unavoichimbua dar yetu faar from the city center adi mbagala uko nje ya mji. hzo sehem unazotaja uswazi zipo mbali na city center kak
![]()
Halafu kilichonishangaza mimi ni hizo nyumba za tope hapo nairobi
![]()
Nyani wa Tanzania haoni kundule kweli.
Wacha uongo wa mchana wewe .Hii picha hapa chini inaonyesha Dar city center ilivyo ave you no shame whatsoever ?
![]()