Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,852
- 103,706
Huoni kwamba kuna nyumba imevunjwa ku-clear the site?Wacha uongo wa mchana wewe .Hii picha hapa chini inaonyesha Dar city center ilivyo ave you no shame whatsoever ?
![]()
Huoni kwamba kuna nyumba imevunjwa ku-clear the site?Wacha uongo wa mchana wewe .Hii picha hapa chini inaonyesha Dar city center ilivyo ave you no shame whatsoever ?
![]()
Hivi we jamaa huchoki na picha za zamani?!Wacha uongo wa mchana wewe .Hii picha hapa chini inaonyesha Dar city center ilivyo ave you no shame whatsoever ?
![]()
wakenya huwa hawanaga uelewaDar es salaam is so beautiful





anawatwanga sana kwa kweli sijui wakenya wanakuwaga wapi....au wamewekeza kwenye mbio za kupokezana vijiti tuhuyu jamaa ni noma


aya sasa .....tz bus stations vs kenya sgr stationsMwanza, Ilemela
aya sasa kimenuka
www.forbes.com
That's New York of Africa 😂 😂 😂Wacha uongo wa mchana wewe .Hii picha hapa chini inaonyesha Dar city center ilivyo ave you no shame whatsoever ?
![]()
Kwanza unafaa ufahamu kwamba Dar size yake ni mara mbili ya Nairobi so picha tunazoleta ni za Nairobi administrative area. Licha ya hayo, Nairobi has outgrown its boundaries and now includes the neighbouring counties of Machakos, Kajiado and Kiambu to form one big metropolis. Ubaya tukianza kuleta picha za Syokimau kwa mfano, mtaanza kusema tunaleta picha kutoka nje ya Nairobi ukizingiatia kwamba Syokimau falls under machokas but is part of the metropolis (Syokimau is just next to JKIA)Ubaya wenu wakenya mnafananisha nairobi city center kwa dar nzima yani kama vle cc hatuna cty cnta? Afu mnaenda kuokoteza vinyumba vya washua mnafananisha na kariakooakat kila sehem wahua na nyumba zipo, viestates vipo. Fananisha nairobi nzima kama mkoa which includes both the poor na slums zote kama unavoichimbua dar yetu faar from the city center adi mbagala uko nje ya mji. hzo sehem unazotaja uswazi zipo mbali na city center kak
![]()
Hakuna nyumba imevunjwa hapo. Ubaya wenu ni kukana uozo wenu but mko wepesi sana kuonyesha za watu wengine. Yani hadi vitu za wazi mnapinga tu!Huoni kwamba kuna nyumba imevunjwa ku-clear the site?
hapo mambo yashabadilika mzee.......usiwe na akili ya kukuHakuna nyumba imevunjwa hapo. Ubaya wenu ni kukana uozo wenu but mko wepesi sana kuonyesha za watu wengine. Yani hadi vitu za wazi mnapinga tu!
Sawa, ila msituletee mapicha ya 90s kama mnavyofanyaga. Tuleteeni vitu current na sis tuwashushie vitu current. By the way dar ni nzur bila make up unlike nairobi bila kupga pcha usiku na podapoda kdgo mambo hayaendiKwanza unafaa ufahamu kwamba Dar size yake ni mara mbili ya Nairobi so picha tunazoleta ni za Nairobi administrative area. Licha ya hayo, Nairobi has outgrown its boundaries and now includes the neighbouring counties of Machakos, Kajiado and Kiambu to form one big metropolis. Ubaya tukianza kuleta picha za Syokimau kwa mfano, mtaanza kusema tunaleta picha kutoka nje ya Nairobi ukizingiatia kwamba Syokimau falls under machokas but is part of the metropolis (Syokimau is just next to JKIA)
On the other hand, picha za Dar tunazoleta are within the administrative boundaries of Dar so wacha kulia. Picha za dream houses tutaendelea kuleta tu kwa sababu ziko Dar. Hata nyinyi endeleeni kuleta za kibera kwa sababu kibera iko ndani ya Nairobi



ni kweli kabisaSawa, ila msituletee mapicha ya 90s kama mnavyofanyaga. Tuleteeni vitu current na sis tuwashushie vitu current. By the way dar ni nzur bila make up unlike nairobi bila kupga pcha usiku na podapoda kdgo mambo hayaendi![]()