kifusi boy
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 1,141
- 1,752
Dar
endeleeni kujenga footbridge za kutosha nitawapa awards mzee...Footbridges are meant for pedestrians when crossing busy roads to avoid unnecessary accidents. It's even funny how you call that natumizi mabaya ya fedha just because you don't have them there in uswazi. Saa zingine sio vizuri kuongea mambo yasiyo na mantiki kisa uzalendo, inatia huruma



hatari sana tupo vyema safari hii tunalibeba kama kawaida yetu
Shida ya maji haijawai kuisha na ndo the richest city hyo 90% gdp iko mkonon mwa watu5
6300





machokoraaa wa kikenya huwq wanaropokaga tu....
Wakenya wanazidi kuzipenda Barabara za Bongo.
Mwingine alipita Nairobi-Arusha-Manyara-Dodoma.
Huyu wa leo ni Nairobi-Arusha-Kilimanjaro-Tanga-Pwani-Dar es salaam
Sema watu wawili tu walizipenda hivi sio kusema wakenya wote.
Jinga kabisa wewe.
Sio tano tena na sasa ni kumi tena🤣🤣
Failed state
Highway moja tu Nbo acha sonyoIn Nairobi we only need footbridges.....and we have them in plenty coz of the superhighways,interchanges and bypasses
huyo naye ni bangi sanaHighway moja tu Nbo acha sonyo
You need help not "a help". Help is not countable. Tutawafundisha hadi lini?So,do you think the statistics come from heaven???😂😂😂
Nilishakuambia you need a help...
Of course ni bora as per Tanzanian standards. Those dream houses ni za hali ya juumzee hayo maeneo ni noma kuliko hizo chaka za estate zenu .....tembelea siku ushuke chini uone. .....
usichanganyikiwe na hiyo picha ya juu
Ugly? This is the definition of ugliness 👇 👇Hivi ni kwa nini picha za nairobi bila filter huwa zinakuwa ugly!!!why!!au ni kwa sababu ya udongo mwekundu??? I wanna know
Of course zote ziko na natumizi same ila those devices are not the same. Ni kama kusema eti laptop ni desktop na desktop ni laptop just because they are all computers. They might be computers yes but their functionalities are not the same. Get the differenceNa matumizi yake ni tofauti pia? Au device ndio tofauti?
Zipo Manzese,Buguruni huku kote Uswazi. Dar barabara kubwa zina traffic lights almost every km so sehemu za kuvuka zipo karibu. Kama along brt e
Lazima tu ziwe za kipuuzi kwa sababu hamna. Mngekuwa mnazo za kutosha, mngeshafungua nyuzi hapaendeleeni kujenga footbridge za kutosha nitawapa awards mzee...
maana unatamba na vitu vya kipuuzi amabvyo ni normal mzee,,,,sikusomi![]()
Alokudanganya nani? Mwambie asikudanganye tena. There are footbridges on so many roads in NairobiHighway moja tu Nbo acha sonyo
Wabongo hatuishi kiboya kama nyie ...huwa hatuwazii maisha ya mtu binafsi......Lazima tu ziwe za kipuuzi kwa sababu hamna. Mngekuwa mnazo za kutosha, mngeshafungua nyuzi hapa