Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
Hapana Ikulu ibaki hata kama itakuwa museum majengo yabaki hayohayo! Tembea uone mzee kila nchi ina iconic cum historic zake! Huwezi kuzi-erase like that kama ni hivyo UK majengo mengi ya kifalme yasingekuwapo! Ikulu, Ocean road hospital na zile mahakama magogoni will stay! Hayo unayotaka kufanya yanaweza kufanywa Kigamboni!Tatiyo hiyo ikulu IPO eneo tatanishi cbd sasa imekua kama trap fulani ukiwa unatembea tembea mjini kujikuta upo chini ya ulinzi ni kawaida wengine wanataka kutalii mjini sasa ukikosea njia tu matatizo hivyo ni busara hiyo Ikulu ijengwe sehemu nyingine dar hapo ilipo patumike Kibiashara pajengwe mall kubwa kuliko zote tz na mahoteli kubwa pamoja na park
