Ivi wa Kenya tutawalisha chakula mpaka lini
Poor Kenyans Jana nimeona kwenye habari kwa sasa wanapangiwa kiwango cha chakula cha kununua madukani
Inabidi mbadili sharia ya ardhi mnyanganye ma bwanyeye ardhi mjilimie chakula
La sivyo kila mwaka Tanzania itaendelea kuwalisha
Poor Kenyans Jana nimeona kwenye habari kwa sasa wanapangiwa kiwango cha chakula cha kununua madukani
Inabidi mbadili sharia ya ardhi mnyanganye ma bwanyeye ardhi mjilimie chakula
La sivyo kila mwaka Tanzania itaendelea kuwalisha