my friend..ni kizungu huelewi au...ebu soma hii msg yangu apo chini
'i think you dont know what you are talking about...i said excavation is going on yenye unataka iishe kwa wakati unaotaka wewe.nashindwa kuelewa kama uko na any knowledge ya engineering kwa mambo ya structures ama civil?ata ikachukua miaka mia I care less,they have their reasons but the bottom line is,the project wont stall just because you said so'
soma apo kwa red alafu uangalie ili jibu lako apa.......
My friend saedeque hata kama mngekua mumeanza mwaka jana still mngekua kwenye floors at least 2 mpaka 5 wacha ubishi wakishindani usiokua na maana.....bado nataka unioneshe picha wakijenga foundation tu tafadhali......sipendi uzunguke niletee plz kama kweli ujenzi unaendelea usinifanye mm mjinga kwasababu nina jamaa yangu nairobi na ananiambia each and everything over there...
unaona vile unakurupuka?