Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Sitaki kupingana na wewe,huo ndo msumari moto kwenye donda lako,,acha sindano ikuingie kwelikweli.
Ingine ndo hiyo..ndo ujue this is kenya

kama hukutosheka na ya jana,mjeledi mwingine ndo huo

Hahahhahahaha acha nidhamu ya uoga baba
Mlichonacho huku vinafanyika Mara mbili my friend kua mpole😀😀😀😀
Usichukie 😛😛😛😛
 
Leo nimefurahi kuona Tanzania inawapeleka speed kwelikweli sio kama 10 yrs zilizopita mlikua munatutukana munatukashifu but leo nimefurahi kuona adabu ipo sasa na heshima inazingatiwa.......nawashkuru kikwete na magufuli kwa kurudisha heshima kwa tanzania
 
Leo nimefurahi kuona Tanzania inawapeleka speed kwelikweli sio kama 10 yrs zilizopita mlikua munatutukana munatukashifu but leo nimefurahi kuona adabu ipo sasa na heshima inazingatiwa.......nawashkuru kikwete na magufuli kwa kurudisha heshima kwa tanzania
Jichwa zidi kuweka mavumbini..Give me even 10 multinationals headquartered in Dar is slum...
 
Tanzania ndo tunaanza bado asubuhi sana
Screenshot_2017-05-12-09-41-42.png
 
Jichwa zidi kuweka mavumbini..Give me even 10 multinationals headquartered in Dar is slum...
Ndio maana nakwambia my friend punguza jazba tanzania imeinuka only 10 yrs of kikwete ndio bado asubuhi na kazi ndio zinaanza sasa....so kwenye utalii tayari tushanaliza kazi, viwanda ndo tumeanza kuwakanyaga, agriculture ndio kabisa usizungumze, umeme mwakani munaanza kununua umeme tanzania, mambo ya uchukuzi tunalala na nyie sahani moja sasa hvi etc
 
Ndio maana nakwambia my friend punguza jazba tanzania imeinuka only 10 yrs of kikwete ndio bado asubuhi na kazi ndio zinaanza sasa....so kwenye utalii tayari tushanaliza kazi, viwanda ndo tumeanza kuwakanyaga, agriculture ndio kabisa usizungumze, umeme mwakani munaanza kununua umeme tanzania, mambo ya uchukuzi tunalala na nyie sahani moja sasa hvi etc
tumeanza,tutaanza,tutawashinda,wimbo ule ule.....zidi kuimba zumbukuku huku tumeshakamilisha na kuzidi.Thanx for the wazungus walitufanya tuwe jasiri na wajanja...
 
tumeanza,tutaanza,tutawashinda,wimbo ule ule.....zidi kuimba zumbukuku huku tumeshakamilisha na kuzidi.Thanx for the wazungus walitufanya tuwe jasiri na wajanja...
Jipe moyo lakini Kenyatta kuzuia ngano na LPG kutoka tanzania ujue dawa kaionja vzr..😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Poor people,yaani hata hamna vipakatalishi,ni screenshots tu za china made phones....Tafuta apple ipad ndo niendelee na wewe or Google notebook kwanza ndo uwe ligi ya wakenya
Kwan we unajua natumia Simu gani??????
Simu nayotumia mm unaijua???????
😀😀😀😀😀
 
Do u have pics???????
Ctaki porojo picha unazo?????

heheheh kwenda huko sasa mimi nikupe pics kama nani?? oneni huyu jamaa!! kwani we ndio nani. ukitaka pics kajipigie mwenyewe ama ugoogle na kama huwezi conclude unavotaka, doesn't change anything. It's so relieving to know that your opinion is yours alone and affects nothing. Kunywa konyagi, kojoa ulale.
 
do you have proof that construction started in 2014? can you share that proof?
 
do you have proof that construction started in 2014? can you share that proof?
 
tumeanza,tutaanza,tutawashinda,wimbo ule ule.....zidi kuimba zumbukuku huku tumeshakamilisha na kuzidi.Thanx for the wazungus walitufanya tuwe jasiri na wajanja...

majamaa wa 'tuta'. This must be the most used preface in this forum. Not forgetting 'tayari'
 
Back
Top Bottom