komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,646
Sasa utaskiaje kitu ambacho hakipo...
haibadilishi the fact kuwa mna treni za karne ya 19
haibadilishi the fact kuwa mna treni za karne ya 19
I have Explored Mombasa Town in and Out,
Apart from those Massive Tuk tuk na Ile harufu ya Uchafu hamna kitu pale,
The best street in Ms is Moi Avenue, noisy 24/7 and Na Makahaba na mashoga yamejaa pale..
View attachment 1151852View attachment 1151853View attachment 1151854
Nilisoma kwenye news. Wivu wa nini lakini? kama mmefanyiwa umafia si ni nyie wenyewe na upumbavu wenu. For once naona wakenya wakihofia maendeleo ya Tanzania.Sasa utaskiaje kitu ambacho hakipo...
Kisumu had its first traffic lights this year. It is probably the only East African "city" where people use bicycles as taxis. You gotta move on mate I mean this is such a shame
Aaaaaweee...hvo ndo mlidanganya watu...Caption this
View attachment 1151866
Nilisoma kwenye news. Wivu wa nini lakini? kama mmefanyiwa umafia si ni nyie wenyewe na upumbavu wenu. For once naona wakenya wakihofia maendeleo ya Tanzania.
And still imeichapa dodoma your capitalKisumu had its first traffic lights this year. It is probably the only East African "city" where people use bicycles as taxis. You gotta move on mate I mean this is such a shame
Zanzibar ni mji au Nchi?Dar
Mwanza
Arusha
Mbeya
Z’bar
Wuhuhuuuuuu!!!umerudi tena na hii picha ya ile uzi wako wa uongo eti ulikuja mombasa....
Zanzibar ni mji au Nchi?
Ondoa Dar hizo zingine ni vijiji.
Kwani we tatizo lako ni nini haswa? maana sisi project yetu bado mbichi hata haijaiva. Nyie mmeshaanza project na treni za karne mida ya BC, project mpaka sasa hivi ni hasara na scandals tupu. Kama una worry sana kuhusu project yetu, that's none of your goddamn business. Kabadilishe ile miwagon ya migodi kwanza ndo urudi hapa kujudge chochoteAaaweee ..uskie news halafu msifungue uzi...subutu...
Halafu mlivyopigwa..hela ya ujenzi na treni kivyake vyake...mbna ujinga
Hiyo picha sio Mombasa?
It's pathetic kuwa mnapambana na mji ambao umepewa attention just recently. Dodoma will kick your lousy asses like nobody's watching very soon.And still imeichapa dodoma your capital
🤣 🤣 🤣 kondoo wengine huwa wanatia huruma. Facts! facts! facts! hatutaki hard feelings tunatumia facts! Zanzibar ulikuwa mji kabla hata nairobbery kuwa mji hilo ndio uelewe. Kwa akili zenu ndogo mnadhani kuwa mji ni maghorofa tuZanzibar ni mji au Nchi?
Ondoa Dar hizo zingine ni vijiji.
Kwani we tatizo lako ni nini haswa? maana sisi project yetu bado mbichi hata haijaiva. Nyie mmeshaanza project na treni za karne mida ya BC, project mpaka sasa hivi ni hasara na scandals tupu. Kama una worry sana kuhusu project yetu, that's none of your goddamn business. Kabadilishe ile miwagon ya migodi kwanza ndo urudi hapa kujudge chochote
View attachment 1151877View attachment 1151878View attachment 1151879
Zanzibar ni mji au Nchi?
Ondoa Dar hizo zingine ni vijiji.
kondoo wengine huwa wanatia huruma. Facts! facts! facts! hatutaki hard feelings tunatumia facts! Zanzibar ulikuwa mji kabla hata nairobbery kuwa mji hilo ndio uelewe. Kwa akili zenu ndogo mnadhani kuwa mji ni maghorofa tuView attachment 1151882
population wise u win but developmental wise bado sana kaka👇 👇 💉 💉 Caption this
View attachment 1151866
Mi naona progress ikifanyika na hilo ndilo nialolifurahia. Scendals kwenu sio wachina tu. Hasara mnazopata kutokana na ujenzi wa sgr ni sheedah!Scandal mbna tanzania ndio za kutisha...$12,000,000 kw ajili ya matibabu...
1.2trillion..mpka leo bunge halija jadili...
Naona umeleta sgr dume...inabeba mizigo mingi hta kushinda hyo yenu ya kifafa