Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shida yako miti ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ ukifkiri dar hakuna miti tatizo lenu munaujinga sana kichwani mwenu jengeni nairobi muondoe mapori yamejaa sana bado sana nairobi
51A6FB17-0487-4743-BFE4-2F25414D7351.jpeg
69AC8715-B4C7-4569-B1B6-6900F3F2DEF3.jpeg
C8CD0A8F-4D21-4DEB-BEAF-14C8704C8A15.jpeg
88CF70D1-A487-499B-8AC2-5B24F02A8745.jpeg
65ACB650-B613-48DF-A292-51A243CE6FDB.jpeg
7EF1234F-0AC1-47E1-92BA-00CA85CED0A3.jpeg
8DACB0DD-8742-45DA-9C69-9D2D0F8A952E.jpeg
6233415F-1703-4144-B854-D39D91AFCB71.jpeg
ECAA093D-EBD9-4E0D-B7B7-0BC298E9AA49.jpeg
45E2AE64-A5E3-4C92-B3AF-CAEAF005AC2C.jpeg
E6BA91B6-ECED-4D43-A92E-9D5F1B40F788.jpeg
 
Na bado vile viel wankopa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Japan is the 4th powerful country in the world my friend usifananishe japan na kenya never ever[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Japan pamoja na madeni hawazungumzii dawa mahospitalini wala chakula[emoji38][emoji38][emoji38] na kwa uchumi wao wanaouwezo wakulipa hilo deni, je kenya uwezo upo????
 
Walipe wapi na wakati hawajaanza kukopa leo...kwn unafikiria 200% lilifikaje ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]form ni kukopa brathe...

Na bado japan wataendelea kukopa hadi yesu arudi...[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Japan is the 4th powerful country in the world my friend usifananishe japan na kenya never ever[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Japan pamoja na madeni hawazungumzii dawa mahospitalini wala chakula[emoji38][emoji38][emoji38] na kwa uchumi wao wanaouwezo wakulipa hilo deni, je kenya uwezo upo????
 
Walipe wapi na wakati hawajaanza kukopa leo...kwn unafikiria 200% lilifikaje ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]form ni kukopa brathe...

Na bado japan wataendelea kukopa hadi yesu arudi...[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Narudia tena maneno yangu japan is the 4th powerful country interms of economy in the world yani ww usijifananishe kabisa na japan u know y? Coz japan ni developed country na ww ni developing country wenzako hawazungumzii njaa na maji๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Na bado vile viel wankopa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kukopa sio tatizo tatizo ni pesa ya kurudisha๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† ni sawa na kenya imekopa sana na tena mbaya zaidi imekopa expensive loans na hakuna ilichofanya cha maana zaidi ya pesa zinaliwa na wachache huku tukishuhudia miradi hewa๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† sasa mbaya zaidi ni pale world bank inapowaonya na hata IMF iliwaonya pia
 
Walipe wapi na wakati hawajaanza kukopa leo...kwn unafikiria 200% lilifikaje ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]form ni kukopa brathe...

Na bado japan wataendelea kukopa hadi yesu arudi...[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]

Tofaut ya loans kati ya developed countries na failed state ni hii hapa๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡



 
komora096 umekaa anawaza kujifananisha na japan serious๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† japan wapo mbele yako ww miaka 300, nchi uchumi wake wa nne duniani, toka japan au marekani wameanza kukopa ushawah sikia uchumi wao umeyumba au watu wanakufa njaa๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ na huyo mjapan ndio anaekusaidia pesa za budget yako na baadhi ya miradi bure eg jica

Mkenya ni mtu anaefaa kusaidiwa mawazo yani nimecheka sana leo failed state inajifananisha na developed country
 
Na bado vile viel wankopa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii ndio tofaut ya japan na kenya๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ 381b zimeliwa na wachache na unaweza kuta ni loan pia

 
Walipe wapi na wakati hawajaanza kukopa leo...kwn unafikiria 200% lilifikaje ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]form ni kukopa brathe...

Na bado japan wataendelea kukopa hadi yesu arudi...[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Ukiskia tofaut ya developed countries na failed state ndio hiii

Huyu ndio japan๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡


















 
Shida yako miti [emoji38][emoji38][emoji38][emoji116][emoji116][emoji116] ukifkiri dar hakuna miti tatizo lenu munaujinga sana kichwani mwenu jengeni nairobi muondoe mapori yamejaa sana bado sana nairobiView attachment 1147635View attachment 1147636View attachment 1147638View attachment 1147639View attachment 1147640View attachment 1147641View attachment 1147642View attachment 1147643View attachment 1147644View attachment 1147645View attachment 1147646
Hahaha ichoboy uko wap ule bia sio kwa picha hizi
 
Back
Top Bottom