Tumeshwazoea watu wa kuangalia mijengo...hyo mijengo ni ya kupumbaza raia tu km mna hospitali nzuri...
Wachana na kenyatta boss..
Wewee kenya yetu imeishinda tz kwa kila kitu ..sehem ambayo tu naweza sema mmebobea ni upande wa sanaa peke yake Kama vile muziki na acting ma pia nitasema upande wa kuzungumza kiswahili sanifu, ooh na nchi kubwa na ardhi kubwa yenye rotuba , kwa hayo sito pinga, lakini kwa mabo mengine yote tumewazidi tena sana yaani.
Mtu yeyote ambaye atashinda akipinga kwamba kenya iko sawa na tz ikaishinda kenya atakuwa ni mtu mwenye ambaye hana hekima ya kutosha.
Kuna kipindi flani ambapo tz ilikuwa juu yetu in the 80s lakini sahii mabo kabadilika. na ukweli wa mambo ni kwamba kenya iko juu zaidi, ni vile tu hamja fanya uchunguzi wenu kwa makini.
Halafu kenya pia ni nchi amabayo ina baraka flani ya kipekee, ndio maana ikawa na watu mashuhuri wanao husiana nayo kwa karibu, either ni wakenya ama wana uhusiano wa kidamu na kenya ....
TAZAMA MAJINA KAMA
1.Wangari maathai NOBEL PEACE PRICE WINNER
2.Barrack obama US PRESIDENT
3.Divock origi LIVERPOOL
4.Wanyama TOTTENHAM
5 Lupita nyongo OSCAR WINNER USA
Haya... All the multi national componies wameweka head quters zao kenya