Kumbe kuingia darasani maana yake ni kujua kuzungumza kiingereza kwa ufasaha?, (Not yet Uhuru. By Jaramogi Odinga)Yaani tangu lini mtanzania akamuuliza mkenya Kama eti ameeingia darasani! Wakati nyinyi kuzungumza kizungu Shida tupu.. Kustawisha uchumi Shida tupu..watanzania wengi huja Kenya kwa Masomo ya Juu
Mbona ni kawaida yao kuja kutibiwa Tanzania?, wamehazana sana pale Ocean Road Cancer Institute, wanashangaa kuona Hospital kubwa na ya kisasa yenye vifaa vya kisasa kuwa ni public Hospital, wananchi wanatibiwa bure. Kwao Hospitali kama hii ni Private kwa wenye pesa tu.
Kama unaona haina faida kwako nani kakulazimisha kukomenti. Umekosa thread unazotaka wewe????.kama unataka kunibadilisha uraia ni haki yako na utaweza kufanya hivyo kwenye mawazo yako tu ila kiuhalisia haitowezekana
hata hivyo sikulazimishi kuamini ninachojua wewe endelea kuamini hivyo unavyoamini kiongozi. Kwa taarifa tu nimepata bahati ya kutembelea hii miji yote dar na nair kwanza hakuna chochote cha kujivunia mnabishania upuuzi tu hapa
miji yote hii mi naona kawaida ni bora tukajadili vitu vingine mbona vya maana na vya kujenga ni vingi tu tunakomalia kubishania miji tulojengewa na wageni sijui mnaona fahari gani
mkimaliza hii mtakuja na nyuzi za kujilinganisha na misri johanesburg baadae paris na washington kabisa endeleeni tu kusapotiana uzwazwa haya ndiyo matunda ya wanasiasa wa EA
Kumbe wewe mdada??iyo ni fursa mjomba tafuta ela kawauzie huko chakula upige ela hizi mboyoyo zingine tuachiage kina dada
Usijitetee ushasema we ni demu usitufanye wajinganatafuta mabinti wazuri kutoka pande zote nairobi na dar nikajua nitapata humu kumbe ni midume mnabishania ukwaju anyway bado nina imani watakuja kwahiyo nawasubiri
Utajidefine kuwa mtu wa namna gani, mfano "wewe ni mshabiki wa arsenal unamsifia lukaku mbele ya mashabiki wa arsenal na man u n then anatokea mshabiki wa man u anasema arsenal hawana wachezaji wa kueleweka"?
Kama kweli wewe ni mtz basi utakua na akili ya kipekee maana kuna post umeandika kuwa ni bora kuwa maskini kuliko kuwa mjinga halafu kuna jamaa kaandika hii post hapa chini kuwa kama ni mtz na hujasoma nje ni mjinga
Kumbuka baba yako, mama yako, wewe mwenyewe, mkeo wanao na kila ndugu ulienae ni mtz. Je wote wamesoma nje?
Hebu mjibu huyu mtu nikuelewe akili yako iko wapi
Haya ndo mambo yanayotuleta hapa
Wewe kama nani??????halafu bila aibu kabisa unaandika naisanifu nchi kati yangu na wewe nani anaisanifu nchi yake sasa
kama kulinganisha miundombinu miradi ya kupigwa ndo umeona issue nakuhabarisha kwamba ndiyo sanifu yenyewe hiyo sasa badilikeni nyie manyumbu wote wa nairobi na dar acheni mipasho jadilianeni vitu vya msingi
Bado Haieleweki Lisu Atapelekwa Wapi Muhimbili Ama Nairobi.mp3Mbona ni kawaida yao kuja kutibiwa Tanzania?, wamehazana sana pale Ocean Road Cancer Institute, wanashangaa kuona Hospital kubwa na ya kisasa yenye vifaa vya kisasa kuwa ni public Hospital, wananchi wanatibiwa bure. Kwao Hospitali kama hii ni Private kwa wenye pesa tu.
Kwa ujinga wake alikimbilia Private Hospital Nairobi, aligundua hawana uwezo wowote ule, ikabidi akimbie haraka sana. Tunalinganisha Public Hospitals za Kenya na Tanzania, huko Kenya alikuja ktk private Hospital, wakenya wakija huku wanakuja kwenye public Hospitals.Bado Haieleweki Lisu Atapelekwa Wapi Muhimbili Ama Nairobi.mp3
BADO HAIELEWEKI LISU ATAPELEKWA WAPI, MUHIMBILI AMA NAIROBI
BADO HAIELEWEKI LISU ATAPELEKWA WAPI, MUHIMBILI AMA NAIROBI.mp3
Play Download
Azam TV - Safari ya Tundu Lissu kwenda Nairobi Kenya kwa matibabu
Azam TV - Safari ya Tundu Lissu kwenda Nairobi Kenya kwa matibabu.mp3
Play Download
Tundu lisu akiwa hospital
Tundu lisu akiwa hospital.mp3
Play Download
Chadema wafunguka A - Z sababu za kumpeleka Lissu kutibiwa Kenya
Chadema wafunguka A-Z sababu za kumpeleka Lissu kutibiwa Kenya.mp3
Play Download
MBOWE AFICHUA KINACHO ENDELEA NAIROBI KENYA JUU YA TUNDU LISSU
MBOWE AFICHUA KINACHO ENDELEA NAIROBI KENYA JUU YA TUNDU LISSU.mp3
Play Download
Tundu Lissu Akipakiwa Kwenye Ndege Jana Usiku Kwenda Nairobi
Tundu Lissu Akipakiwa Kwenye Ndege Jana Usiku Kwenda Nairobi.mp3
Play Download
Tundu Lissu Azidi Kuimarika
Tundu Lissu Azidi Kuimarika.mp3
Play Download
HATIMAYE TUNDU LISU AZINDUKA NA KUSEMA HAYA AKIWA HOSPITALI NAIROBI
HATIMAYE TUNDU LISU AZINDUKA NA KUSEMA HAYA AKIWA HOSPITALI NAIROBI.mp3
Play
Kenyatta National Hospital is the biggest referral hospital in East Africa.Mbona ni kawaida yao kuja kutibiwa Tanzania?, wamehazana sana pale Ocean Road Cancer Institute, wanashangaa kuona Hospital kubwa na ya kisasa yenye vifaa vya kisasa kuwa ni public Hospital, wananchi wanatibiwa bure. Kwao Hospitali kama hii ni Private kwa wenye pesa tu.
Hahahahaha, hiyo ni kama kaburi, ukiingia hapo unakufa, hakuna Huduma yoyote, hata Ultrasound machines hazifanyi kazi.Kenyatta National Hospital is the biggest referral hospital in East Africa.
Share this story:
East africa kenyatta huwez ilinganisha na hospitali yyte ile ya kiserikaliHahahahaha, hiyo ni kama kaburi, ukiingia hapo unakufa, hakuna Huduma yoyote, hata Ultrasound machines hazifanyi kazi.
Muhimbili tunafanya procedure inayojulikana Kama, "Cochlear inplant", onyesha kama kuna public Hospital yoyote Kenya inafanya hiyo operation.
East africa kenyatta huwez ilinganisha na hospitali yyte ile ya kiserikali
Hebu tumia akili kidogo.Bado Haieleweki Lisu Atapelekwa Wapi Muhimbili Ama Nairobi.mp3
BADO HAIELEWEKI LISU ATAPELEKWA WAPI, MUHIMBILI AMA NAIROBI
BADO HAIELEWEKI LISU ATAPELEKWA WAPI, MUHIMBILI AMA NAIROBI.mp3
Play Download
Azam TV - Safari ya Tundu Lissu kwenda Nairobi Kenya kwa matibabu
Azam TV - Safari ya Tundu Lissu kwenda Nairobi Kenya kwa matibabu.mp3
Play Download
Tundu lisu akiwa hospital
Tundu lisu akiwa hospital.mp3
Play Download
Chadema wafunguka A - Z sababu za kumpeleka Lissu kutibiwa Kenya
Chadema wafunguka A-Z sababu za kumpeleka Lissu kutibiwa Kenya.mp3
Play Download
MBOWE AFICHUA KINACHO ENDELEA NAIROBI KENYA JUU YA TUNDU LISSU
MBOWE AFICHUA KINACHO ENDELEA NAIROBI KENYA JUU YA TUNDU LISSU.mp3
Play Download
Tundu Lissu Akipakiwa Kwenye Ndege Jana Usiku Kwenda Nairobi
Tundu Lissu Akipakiwa Kwenye Ndege Jana Usiku Kwenda Nairobi.mp3
Play Download
Tundu Lissu Azidi Kuimarika
Tundu Lissu Azidi Kuimarika.mp3
Play Download
HATIMAYE TUNDU LISU AZINDUKA NA KUSEMA HAYA AKIWA HOSPITALI NAIROBI
HATIMAYE TUNDU LISU AZINDUKA NA KUSEMA HAYA AKIWA HOSPITALI NAIROBI.mp3
Play
Wuhuhuuuu!!!narudia tena...huwez linganisha kenyatta hospitali na hospitali yyte ile ya kiserekali east and central africa...
Kama tulivyowapiga bao katika Airport mkiwa mdomo wazi, katika hospital tuluwapita zamani sana, huwezi linganisha hospitali la zamani hilo la miaka ya 60s na high tech modern Hospital kama hii. Hahahahaha, hahahahaha, hahahahaha.
Hahahahaha, kama ambavyo huwezi linganisha Kasarani stadium na National Stadium ya Tanzania, Kasarani ipo juu. Hahahahaha, hahahahaha. Na bado sana, kwasababu yajayo yanafurahisha zaidi.Wuhuhuuuu!!!narudia tena...huwez linganisha kenyatta hospitali na hospitali yyte ile ya kiserekali east and central africa...