Wewe ni Mkenya. Nilishasema muda mrefu utatoa povu mpaka ukome.Dah....nachelea kusoma na kujibu maana naloandika mm na nyie ni mambo mawili tofauti....kukua kwa miji ni evolution lazima itokee maana kuna mambo mengi yanabadilika...technology inapokua....akili zinakua na maendeleo lazima yawepo....mzee master plan haizuii kujenga bt my point haikuwepo na haipo...ndo mana shm ambazo zilikua bado pori now wanajitahidi....mm nadesign jengo kkoo naelewa nalosema.....sikatai dar inakua sana na stil kukua kwake haitunyimi kusema ukwel haijapangwa.....leo tunaona dodoma inaanza jengeka...wasikosee km huu mji....na elewa km nairobi ilikua ya maana kuliko dar ni nadra sana kuifikia recent...kwan wao pia wanakua....tatizo watanzania tunaushindani ambao hauna tija....leo we build flyover hata haijaanza makelele kibao wakati nairobi kwao sio kitu kigeni...ni va kujisifia bt tuache kulinganisha mambo kwa ushabiki....tusifie kwa mazuri....tunajikweza sana watz na kudharau....na hatujui ushabiki hauna maana kwa familia zetu....mfano angali ooh sijawai enda nairobi au mtu anajisifia yy wa dar wakati kwao.kashozi...yap mm baba angu mkenya machakos na mama mpare....nimeishi kote unaposema naelewa ila ushabiki wa haunisaidii....tujenge nchi yetu kwa manufaa yetu sio comparison ambazo hazituletei tija....
hapo ndipo unaponihaivisha ndugu yangu.......eti dar haina masterplan ......nakuheshimu kwani ningekutukana aisee ....mimi nachoomba utoe fact na ulete source ya taifa ambayo inasema dar haina masterplan dah....we jamaa unazingua na kingine ni hivi hebu rudi kwenye mantiki ya hii thread anza na tittle kisha usome tulipoanzia na tulipoishia bado haujielewi....wew siyo mbongo.....ni mkenya hivyo hapa tutatukanana tu...bora upite tu ....ama uje na fact apa zenye uthibitishoDah....nachelea kusoma na kujibu maana naloandika mm na nyie ni mambo mawili tofauti....kukua kwa miji ni evolution lazima itokee maana kuna mambo mengi yanabadilika...technology inapokua....akili zinakua na maendeleo lazima yawepo....mzee master plan haizuii kujenga bt my point haikuwepo na haipo...ndo mana shm ambazo zilikua bado pori now wanajitahidi....mm nadesign jengo kkoo naelewa nalosema.....sikatai dar inakua sana na stil kukua kwake haitunyimi kusema ukwel haijapangwa.....leo tunaona dodoma inaanza jengeka...wasikosee km huu mji....na elewa km nairobi ilikua ya maana kuliko dar ni nadra sana kuifikia recent...kwan wao pia wanakua....tatizo watanzania tunaushindani ambao hauna tija....leo we build flyover hata haijaanza makelele kibao wakati nairobi kwao sio kitu kigeni...ni va kujisifia bt tuache kulinganisha mambo kwa ushabiki....tusifie kwa mazuri....tunajikweza sana watz na kudharau....na hatujui ushabiki hauna maana kwa familia zetu....mfano angali ooh sijawai enda nairobi au mtu anajisifia yy wa dar wakati kwao.kashozi...yap mm baba angu mkenya machakos na mama mpare....nimeishi kote unaposema naelewa ila ushabiki wa haunisaidii....tujenge nchi yetu kwa manufaa yetu sio comparison ambazo hazituletei tija....
huyu jamaa anatuzingua mara mbongo mara mkenya sijui mama yake mpare baba yake mkenya mara msanifu wa majengo....yaan haeleweki na anachonifurahisha eti dar haina master plan....huu si upumbavuWewe ni Mkenya. Nilishasema muda mrefu utatoa povu mpaka ukome.
Kwanza injinia gani huyu hajui hata kuandika!!?
Unaandika kama bata, halafu unajifanya injinia.
Maandishi hayana nukta hata koma. Yaani umeandika maelezo marefu kama sentensi moja.
Usijifanye designer wakati siyo. Jengo gani una design hebu lilete hapa tukione. Linaitwaje?
Nimekueleza toa ushamba wako hapa tutakutoa povu mpaka utakimbia. Namna ulivyoandika tu; ni proof tosha kiwango chako cha uelewa ni finyu mno, kama mtoto mdogo. Rudi shule ndio ulete maelezo humu. Halafu usijipe title ambayo huna. Hizo ni sifa za wajinga wenzako huko Kenya.
Hivi unazijua slums za Nairobi wewe au unaimba nyimbo tu. Ngoja nikuwekee hapa list:-
Dar hakuna uharo kama huo.
- Baba Ndogo
- Dandora
- Fuata Nyayo[7]
- Gatwekera
- Huruma
- Kambi Muru
- Kangemi
- Kawangware
- Kiambiu
- Kianda
- Kibera (Kibera has been described as the largest slum in Kenya)
- Kichinjio
- Kisumu Ndogo
- Korogocho
- Laini Saba
- Lindi
- Majengo, Nairobi
- Makina
- Makongeni
- Mashimoni
- Matopeni
- Mathare
- Mathare Valley
- Mugumoini
- Mukuru kwa Njenga
- Mukuru slums
- Nyalenda
- Pumwani
- Raila
- Sarang'ombe
- Shilanga
- Siranga
- Soweto East
- Soweto West
- Ziwa la Ng'ombe[8]
Ukimuuliza wapare wanaishi wapi anasema wanaishi Ujiji, wilaya ya Songea, mkoa wa Arusha.huyu jamaa anatuzingua mara mbongo mara mkenya sijui mama yake mpare baba yake mkenya mara msanifu wa majengo....yaan haeleweki na anachonifurahisha eti dar haina master plan....huu si upumbavu
Sipo kwenye usahili au silipwi kwa kuandika...just namaliza bando...then sipo kubishana na ww au yeyote....unatoka kwa mada unaandika nonesence....pia tofautisha msanifu majengo na mhandisi,though all we learn engineering bt uwez muita architect kua ni engineer....then ur perception na zako na zangu are differ...unataka niandike km nipo darasani...ndo mana waishia kutukana bse ur mentality is poor....sipo kuprove your IQ bt is poorWewe ni Mkenya. Nilishasema muda mrefu utatoa povu mpaka ukome.
Kwanza injinia gani huyu hajui hata kuandika!!?
Unaandika kama bata, halafu unajifanya injinia.
Maandishi hayana nukta hata koma. Yaani umeandika maelezo marefu kama sentensi moja.
Usijifanye designer wakati siyo. Jengo gani una design hebu lilete hapa tukione. Linaitwaje?
Nimekueleza toa ushamba wako hapa tutakutoa povu mpaka utakimbia. Namna ulivyoandika tu; ni proof tosha kiwango chako cha uelewa ni finyu mno, kama mtoto mdogo. Rudi shule ndio ulete maelezo humu. Halafu usijipe title ambayo huna. Hizo ni sifa za wajinga wenzako huko Kenya.
Hivi unazijua slums za Nairobi wewe au unaimba nyimbo tu. Ngoja nikuwekee hapa list:-
Dar hakuna uharo kama huo.
- Baba Ndogo
- Dandora
- Fuata Nyayo[7]
- Gatwekera
- Huruma
- Kambi Muru
- Kangemi
- Kawangware
- Kiambiu
- Kianda
- Kibera (Kibera has been described as the largest slum in Kenya)
- Kichinjio
- Kisumu Ndogo
- Korogocho
- Laini Saba
- Lindi
- Majengo, Nairobi
- Makina
- Makongeni
- Mashimoni
- Matopeni
- Mathare
- Mathare Valley
- Mugumoini
- Mukuru kwa Njenga
- Mukuru slums
- Nyalenda
- Pumwani
- Raila
- Sarang'ombe
- Shilanga
- Siranga
- Soweto East
- Soweto West
- Ziwa la Ng'ombe[8]
yaani huyo .....nikiflow naye hanigusi hata robo.......kwa flow kwenye battle ndyo kabisa nampoteza[emoji23] [emoji23] [emoji23]Khaligraph Jones....attended his show last Sunday in westie....this guy is killing ita real rapper from kayole
Hapo kwenye "Red" Tayari umejweka wazi wewe ni nani. Tangu mwanzo nimekueleza wewe ni mkenya, unapayuka tu. Nimekueleza utatoka povu mpaka uimbe wimbo wenu wa taifa.Sipo kwenye usahili au silipwi kwa kuandika...just namaliza bando...then sipo kubishana na ww au yeyote....unatoka kwa mada unaandika nonesence....pia tofautisha msanifu majengo na mhandisi,though all we learn engineering bt uwez muita architect kua ni engineer....then ur perception na zako na zangu are differ...unataka niandike km nipo darasani...ndo mana waishia kutukana bse ur mentality is poor....sipo kuprove your IQ bt is poor
ha haaaaa mpuuzi.....sana aiseee[emoji31] [emoji31] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji15] [emoji15]Ukimuuliza wapare wanaishi wapi anazema wanaishi Ujiji, wilaya ya Songea, mkoa wa Arusha.
Anazingua sana.
ha haa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ati anakwambia anatoka kwa mada .....thiz iz devil iko kwa mtungi aisee hii chalii yajiita yakipare yapasa apewe knowledge ni matope sana akili zakeHapo kwenye "Red" Tayari umejweka wazi wewe ni nani. Tangu mwanzo nimekueleza wewe ni mkenya, unapayuka tu. Nimekueleza utatoka povu mpaka uimbe wimbo wenu wa taifa.
Hujaleta fact yoyote hapa. Unakuja kuongea maneno mengi kama vile umemeza CD.
1. Leta facts za hayo unayoyasema.
2. Unakaa kimara! Kimara ipi unakaa?
3. Unazijua slums za Nairobi?
4. Je, umesoma document niliyokupatia?
5. Mama yako mpare wa wapi?
Kama huna majibu ya hayo niliyokuuliza basi kichwani utakuwa na upungufu wa ubongo.
Tuambie kwanza unapokaa mkuuAcha bana mnashindana nn...nai mnajua ni jiji la ngp africa....mm mtz ila dar haina master plan...haipo arranged....kuwa wazi na tuache ligi za kijinga.....nai ipo mbali sana compare na dar....tujijengee tu magorofa ila dar haipo arranged
safi anakaa kimara anavyodai.....aisee
Aaahhhh kumbe uliishi ukuAsante sana sipo kubishana na ww au yeyote sio kuishi nimekulia huko...hembu ww lete hizo fact dar ya nane...tatizo watanzania mnajua kubishana kishabiki...tusaidie hizo source za 2016/2017
Dar hii sio chafu kama ile ulioiachaKuna mtu kaandika hapa dar ina master plan...akaleta sijui ile kigambon mpya....aende kigamboni now aone je wanaifata....leo morogoro road wanabomoa nyumba....
Kkoo haina mwelekeo....posta wanajengajenga...tuache ushabiki tujitahidi kujenga miji kwa mipango miji....dar ishakua kichefuchefu wajenge mikoa mingine tutafika.....
Ashakwambia alikuwa anakaa ukukingine tembea kigamboni ......ingia ndani ndani ndyo utaijua kigamboni kuna miradi kadhaa inaendelea na kingine kuwa plan ni mipango sikwasababu master plan ipo ndyo useme leo ianze tofautisha project na master plan .......chochote kinachojengwa kigamboni kwa sasa na hata baadaye vipo kwenye master plan bro.....shtuka
muongo ni mkenya anatuzingua we muulize anakaa wap utamdaka tuAaahhhh kumbe uliishi uku
Ok
That meaning ulikuwa uku miaka ya zamani
Ok
Njoo tena ujionee ilivyobadirika
Umekaa nairobi ukijua dar hawafanyi marekebisho
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
wakati anasema ana anakazi pale kariakoo kuna jengo analidesignAshakwambia alikuwa anakaa uku
So hayupo uku
Kwann ubishane nae sasa
Istoshe alikuwa anakaa manzese au tandare
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Soma post yake moja nimeiquotewakati anasema ana anakazi pale kariakoo kuna jengo analidesign