Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hahahahhaha,,utangoja sana ikufe,infact, utakufa bado nchi yenu ikiwa maskini,LDC,na wakati huo kenya itakuwa level ya singapore 😛

LDC inafanya wonder kwenye dunia nyie munafanya nn???😆😆😆
 
hahahahhaha,,utangoja sana ikufe,infact, utakufa bado nchi yenu ikiwa maskini,LDC,na wakati huo kenya itakuwa level ya singapore 😛
Kenya hamjiwez mlikopa kwa pupa wakat upaja wenu mdogo...Maji kwa shingo sasa
 
Kitu kinacho nishangaza kwanini wakenya wanatetea upumbaavu wa serikali yao wakati wana ishi kwenye slum hapa jf ??? Kwanini wasingekuwa wanaiponda Kwa nguvu zao zote hapa jf ili kuisaidia nchi yao wenyewe !!!!???? Ila nilicho gundua kuhusu wakenya wamevunjika mioyo na nchi yao hivyo wamejumuika pamoja kuionea uchungu na wivu Tanzania
Na dar kigamboni itaneutralize mana sehemu kubwa imepimwa mradi ule chalinze ukifanikiwa aisee itakuwa hatare
 
old CBD from UAP towers
1094126
 
Ww nae ngumbaru kweli mm niko Tzn naijua vzur kenya ni kwa wazazi nakufahamu,hata slums za kenya ni vile watu wengi hawana ardhi so wamerundikana maeneo duni lakini ni maeneo known unlike huku Tzn the whole town ni squatters across the country sijui unaongea nini
Akili maji sana, ndio maana sisi hua tunatumia takwimu za viranja sio kama nyie wakenya mnatoa takwimu zenu kupambanisha halafu mnataka kuforce ziwe conclusion.
Nairobi kuna mbuga ya wanyama lakini bado wazungu wanairate Dar es Salaam over Nairobi, Nairobi haiingii ndani hata kwa zanzibar sembuse Dar es Salaam!
 
Back
Top Bottom