Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,260
- 79,618
Jumla ya ndege ni mbili mzee si tatu! Soma vizuri kaka!Ndege mbili mpya za serikali, aina ya Bombardier D8 Q400 na Boeing B787-8 Dreamliner zinatarajiwa kuwasili nchini mwishoni mwa mwaka huu. Hadi sasa ndege za ATCL zinafanya safari katika mikoa 9 nchini, na kwenda nchi 5 za Afrika (Zambia, Zimbabwe, Burundi, Morocco na Uganda). https://t.co/ASckM8w1AQ
Wamechapia,ni ComoroSikujua kuwa ATCL teyari inakwenda huko.
Nmenotice barabara ya juu kuelekea mlimani city ..ina BRT reserve road for phase 5 brt
Sikujua kuwa ATCL teyari inakwenda huko.
Wapi GDP😆😆😆👇👇👇 madeni yamejaa mpaka matakoni ndani ya GDP
6.3trillion ksh debt😆😆😆 alaf unazungumza habari ya GDP
So hapo chukua total GDP toa hio debt alaf uone GDP yenu halisi😂😂😂😂😂
View attachment 1081339View attachment 1081340View attachment 1081341View attachment 1081342
Kuekeza lazma muje kuekeza kwasababu investor anaekeza sehemu yenye pesa na by the way munatupa faida nyingi sana kwanza ajira kwa vijana na munalipa kodi za serekali na pia mukipangisha ofisi munalipa hiyo ndio raha yenyewe😆😆😆😆👏👏👏Thank you bastard, kwa ku soma habari zetu ju hauna shugili zingine,
Sasa your PM want kenyans to invest in TZ and this is what he quote
View attachment 1081573
Majaliwa holds talks with Kenya, Kuwait envoys
Prime Minister Kassim Majaliwa has held talks with Kenya and Kuwait envoys and insisted that Tanzania welcomes investments from their countries, particularly in building industries.www.thecitizen.co.tz
So Stick to your lane,,,
Kuekeza lazma muje kuekeza kwasababu investor anaekeza sehemu yenye pesa na by the way munatupa faida nyingi sana kwanza ajira kwa vijana na munalipa kodi za serekali na pia mukipangisha ofisi munalipa hiyo ndio raha yenyewe😆😆😆😆👏👏👏
we si mjinga tu, kwani kuhold talks kuhusu investment tatizo ni nini? nchi ngapi zimeinvest kenya? au unaongeaongea tuThank you bastard, kwa ku soma habari zetu ju hauna shugili zingine,
Sasa your PM want kenyans to invest in TZ and this is what he quote
View attachment 1081573
Majaliwa holds talks with Kenya, Kuwait envoys
Prime Minister Kassim Majaliwa has held talks with Kenya and Kuwait envoys and insisted that Tanzania welcomes investments from their countries, particularly in building industries.www.thecitizen.co.tz
So Stick to your lane,,,
aki wewe unafaa kwenda milembe, unadhani mtakuwa mnaproduce bure TZ?watakao ongoza hizo viwanda ni kina nani kama si sisi, uko na umama,,
Bro hapa hadi uchaguzi tutakua tunaenda Bangkok mbona maana Kama Jozi Ni July tu inafuata Mumbai ,nasikitika kwamba majirani hawakutaka haya yatokee
Mademu wa kikenya wanatuzimia sana wabongo kwa upole wetu,huku ninakobebea box kuna kipindi ilikua balaa mpaka kaka zao wakawa wanajenga beef