Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 58,776
- 78,447
Jumla ya ndege ni mbili mzee si tatu! Soma vizuri kaka!Ndege mbili mpya za serikali, aina ya Bombardier D8 Q400 na Boeing B787-8 Dreamliner zinatarajiwa kuwasili nchini mwishoni mwa mwaka huu. Hadi sasa ndege za ATCL zinafanya safari katika mikoa 9 nchini, na kwenda nchi 5 za Afrika (Zambia, Zimbabwe, Burundi, Morocco na Uganda). https://t.co/ASckM8w1AQ