Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

.
Screenshot_20190225-101204~2.jpeg
 
Hahah the more things change the more they remain the same. Hii thread ni sawia na kitendo cha masturbation.. Wacha watanzagiza wazidi kunyonga monkey. Hawawezi saidika hawa maskini wa Mungu
.

This hate after realizing this thread will never ever quit after being boycotted by kunyan.

Madam please go and wipe your asss.
 
Since when showing progress of our city is hatin', we do us, do you... ma nigga!
Hawa jamaa hawana hoja, linalotoka mdomoni mwao kama halijapingwa hata kama wanajua halina mantiki watalishupalia hilohilo.
Sasa hapo sijui hata kama anaellewa kuwa liko vice versa kuwa wao ndio hatters
 
Hivi wanajamvi niulize kwani sgr ya kwenda bandarini dar itapita wapi maana sioni mwelekeo wake
Kuna kituo kimoja cha daladala kinaitwa Darajani kipo baada ya mataa ya Chang`ombe km unaenda town sasa chini ya Daraja lile kuna reli inaelekea bandarini inapitaga nyuma ya Mkuki house
Ukiwa unatoka Karume kwenda Veta kuna njia mbili za reli lzm uzikatize asa ukiacha ile inayojengewa SGR ile ya pili yake sasa kabla ya mataa
 
Hivi wanajamvi niulize kwani sgr ya kwenda bandarini dar itapita wapi maana sioni mwelekeo wake
Sgr haifiki babdarini mizigo yote itabebwa na treni ya zamani mpaka icd ruvu hapo ndipo sgr ya mzigo itaanza safari zake ile ya abiria itaanzia posta
 
Back
Top Bottom