Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

 
aliyeandika "house for sale in tabata" si ni mkaazi wa Dar? Sio mimi nilipost, ni mtanzania mwenzako. Endeleeni Kukana Jiji lenu. Tushawazoea hata
hapo mapicha yamejichanganya sasa kwa akili yako hapo kati ya hizo ni nyumba gani inayouzwa...?..[emoji3][emoji3] wacha kujihaibisha hata ukigoogle mara nyingi picha za dar unazikuta nairobi wakati mazingira halisi ni dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
masters of denial. even your own government is denying data on anything affecting the common Tanzanian. About the picture, that's a screenshot you dunderhead. The focus is one the main bigger picture on that screenshot. Mona mambo rahisi mnashindwa kuelewa?
 
Nashangaa mzungu wa africa huwezi elewa english dar is fishing village historically,sometimes london is described as a fishing village too

We always teach you,
Sasa Wewe mtanzania uniambie sielewi Kiingereza? Tangu lini?
 
Nashangaa mzungu wa africa huwezi elewa english dar is fishing village historically,sometimes london is described as a fishing village too

We always teach you,
Wewe labda tu unifundishe jinsi ya kuandaa mchuzi wa albino
 
Hapana njia nne n kutoka pale tengeru mpaka usa river inaenda kuunganishwa na arusha by pass kama km 8.4


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena Tanzania hiyo less than 30% hawaishi chini ya poverty line bali under 2 USD sasa hiyo pesa ukiileta bongo ni zaidi ya 5000 ambapo wengi wao wapo vijijini kilo ya unga ni chini ya buku 1000 anabaki na buku 4000 aamue akanunue nyama au kuku amalize siku

Huko Kenya hiyo pesa haitoshi hata kilo moja ya unga wakati Tanzania hiyo pesa inanunua mazaga kibao iwe mjini iwe kijijini bado ni pesa nyingi 😁😁😁
 
hauelewi kitu ila hizi takataka,daah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwa kweli hatufanani tupo tofauti too much shit ni watu mlio nyuma sana ila mnajikingia kifua kwa kujifariji,,,,yaani hayo maeneo hata chizi wa bongo hawezi randaranda ,,na hata maiti ikifia hapo endapo akiwa ni mtazania lazima maiti itajiamisha kimiujiza kitafuta best place

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usishangae ndugu yangu...eti kani quote na kunishow hao mabata wapo wengi hadi hawaez chukuliwa katika picha moja....nilishangaa sana kwenda google...mpka mwengine kaandika house for sale in vibata...
Katuma picha mbil...moja ya umbali kidgo na ya pili li gate...yani kule wasitudanganye...majority wanaishikatikazle nyumba zao za uswazy...aka dream houses....

Mtaa unakuwa na nyumba mbili tatu za geti...alfu kwengine ni shanty houses...ukwel hawaupendi...mi huaga nawambia km zile uswazy ndio middle class zao...wao bado...manake kila pahali zipo tu...bwahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…