Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Basi poa.
Huyu mwana anadai vitu vipo vyuma ya wakati.
Ni vile tu ule uwanja ni mdogo tunaweza sema maybe tuone kama watakimbiza ila by now ilitakiwa ile stage ya arusha ndo viwanja vyote viwe, kwa lugha nyepesi saaahv inatakiwa unafanya finishing baada ya mwezi wa 12 ndo final hakuna extension tena

also yule waziri wa michezo wa kenya alisafiri kwenda rwanda kuomba viwanja vyake vitumike kama training pitch, ukijumlisha ule uwanja wa ngong nao ndo kwanza wanarudia tena kupanda nyasi 😭 😭 😭 😭
 
Round inayofuata tumaini lao la Tasker wanakutana na Singida Black Star. The most deadly team. Huo ndio utakuwa mwisho wa safari yao. Kitara FC ya Uganda nao wamekwaa kisiki
APR FC nao Muuaji amewafikia. East Africa zinabaki timu za Tanzania tu.

View attachment 3670132
Vitu tunavyopenda kuviona 😂😂😂😂😂😂
kitara wamemkosea sir God wapi 😂 😂 😂 😂 , hao tusker wangeona wenzao wamekula 7 wangekata tamaa tu
 
Kwan shida ni nn na ile cowshed pale ngong 😂😂😂
1789382189699.png
 

🤣🤣🤣🤣news just in , ati Tanzania has threatened to strike israel if hostilities against hezbollah in lebanon continue...

'Jeshi letu liko imara'🤣🤣🤣👇🙌
Screenshot_20260914_134527_Facebook.jpg
Screenshot_20260913_081526_Chrome.jpg
🤣🤣🤣🙌👇
Screenshot_20260914_134506_Facebook.jpg
Screenshot_20260914_134644_Facebook.jpg
Screenshot_20260914_134559_Facebook.jpg
🤣🤣🤣🙌🙌special ability to box the enemy while the vehicle is in motion🤣🤣🤣👇...
Screenshot_20260914_134708_Facebook.jpg
specialised ability to carry and launch lethal tactical log missiles by hand 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌...
Screenshot_20260914_134748_Facebook.jpg
Screenshot_20260914_134743_Facebook.jpg
Screenshot_20260914_134824_Facebook.jpg
Screenshot_20260914_134511_Facebook.jpg
 
mbwa kala mbwa! Kuna mtu ataabika hap! NSE Dangote group IPO inatakiwa impatie Dangote $500 mln fedha ninayoamini haiwezi kutengeneza kipindi hiki!
BTW they always get the worse deals so that na wenyewe waonekane wana investment, i know sometimes kuna noise za state kuhusu investment but znasaidia, For example wakati mradi wa CNG kule south unaanza masharti yalikua mafupi kabisa, Take 20% we take 80%, mpaka leo bei ya kujaza gesi kwenye vituo its minimal kiasi kwamba kila mtu anajaza full tank
For example mtu wa bajaj saahv anajaza full tank kwa 6200, wa petrol anatumia karibia 16k apo, so if they all do the same route means wa CNG ends up with karibia 300k extra mwisho wa mwezi



ila kule dangote kaenda kawaambia nauza peke yangu kenya nzima na sitaki kuona any other cheap fuel inapitishwa , wakakubali 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom