Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kunduchi residency...bongo
FB_IMG_1489001447618.jpg
 
I Cant believe all is gone, I used to walk this road (Lowerhill Road) when young and sometimes you could be afraid due to the vegetation that made it seem really dark, Below it is a railway golf course that people hardly know exists because it was set deep in the tree cover. Now all is gone, in their place comes a dual carriageway
33638117983_d0da91e26f_b.jpg


34317420491_58808534ae_b.jpg
 
I Cant believe all is gone, I used to walk this road (Lowerhill Road) when young and sometimes you could be afraid due to the vegetation that made it seem really dark, Below it is a railway golf course that people hardly know exists because it was set deep in the tree cover. Now all is gone, in their place comes a dual carriageway
33638117983_d0da91e26f_b.jpg


34317420491_58808534ae_b.jpg
 
Anazuga hahahhaahah Bomu halikuachi lina wewe mwanzo mwisho ulijua Bomu limekusahau 😀😀😀😀😀😀😀😀
Wakenya okoeni jahazi kilaza plus Bomu linamuua ......wapi wanjala wewe 🙂🙂😛😛😛😛
Ukweli wa swali haligeuki kulia wala kushoto🙂🙂
Ukijibu swali sio kilaza plus 😎😎😎
Lakini ukikaa kimya bomu unalo kama ukiskia kilaza kaingia choo basi ujue choo cha kike
Bomuuuuuuuuuuuuuuuu kalikombatia, wanjala kamuuza mwenzie 😀😀😀😀
Wanjala Mungu anakuona wewe umemchuza mwenzio 😀😀😀😀😀
Kadaka timing bomb uhahhauhahah
View attachment 504216
kwako mi kilaza plus hehehe nimeipenda iyo hehe!!!!!
alafu inaitwa time bomb sio timing bomb!!!! unaona madhara ya kutokweda shule?????? we imba tu mabom ila jipange mwakani ukajiandikishe QT. sio unakaa tu vijiweni unasumbua watu na kisim chako cha kichina na bando za jero!! hehehe
 
Once regarded the Africa's Largest slum since 1950, Kibera is now emerging as a new luxurious residential hub in Africa, Things Change in Kenya
View attachment 504445
could you please enlighten us on which year this project was started and how many units have you built so far? and how many have been done by subsequent govt since inception.
 
kwako mi kilaza plus hehehe nimeipenda iyo hehe!!!!!
alafu inaitwa time bomb sio timing bomb!!!! unaona madhara ya kutokweda shule?????? we imba tu mabom ila jipange mwakani ukajiandikishe QT. sio unakaa tu vijiweni unasumbua watu na kisim chako cha kichina na bando za jero!! hehehe
Bila aibu karudi 😀😀😀🙂🙂
Mr kilaza plus 😛😛😛 anaona aibu kukubali kushindwa ameona kama kua na liwe 🙄🙄
Wanjala mwenye Bomu mm naona uchukue Bomu lako mwenyewe maana ndugu yako umauti umemkuta 😀😀😀😀😀😀
Bomuuuuuuuu saidieni mkenya mwenzenu
😛😛😛😛😛😛😛😛
Bomu linamtesa usiku na mchana nilimwambia mm halitakuacha hilo madamu umelikombatia😛😛😛😛😛
d99d861a36d32a35603166b4522ccba5.jpg
 
could you please enlighten us on which year this project was started and how many units have you built so far? and how many have been done by subsequent govt since inception.
Usizuge kwanza bomu lipo au lishabutuka😀😀😀😀😀😀😀😀
Tujue kabisa huenda tunaongea na mfu😛😛😛😛
download (22).jpg
 
kwako mi kilaza plus hehehe nimeipenda iyo hehe!!!!!
alafu inaitwa time bomb sio timing bomb!!!! unaona madhara ya kutokweda shule?????? we imba tu mabom ila jipange mwakani ukajiandikishe QT. sio unakaa tu vijiweni unasumbua watu na kisim chako cha kichina na bando za jero!! hehehe
kutokujua kingereza sio ishara ya mtu kutokwenda shule.acha kuwa na fikra potofu.

watu wa nchi ya malawi japo ni masikini wa kutupwa na wengi wao hawana shahada za vyuo vikuu,lakini wanazungumza kingereza fasaha kuzidi hata wakenya.
 
Bila aibu karudi 😀😀😀🙂🙂
Mr kilaza plus 😛😛😛 anaona aibu kukubali kushindwa ameona kama kua na liwe 🙄🙄
Wanjala mwenye Bomu mm naona uchukue Bomu lako mwenyewe maana ndugu yako umauti umemkuta 😀😀😀😀😀😀
Bomuuuuuuuu saidieni mkenya mwenzenu
😛😛😛😛😛😛😛😛
Bomu linamtesa usiku na mchana nilimwambia mm halitakuacha hilo madamu umelikombatia😛😛😛😛😛View attachment 504636
mimi sio wa vijiweni, I actually have a day job..... with a salary waay past six figures ichoboy01, kwako hiyo ni ndoto! hadi ukasome kwanza!
we imba tu mabomu haya mambo mengine usiyaingilie...ntakuaibisha tena! Ohooo!!
 
kutokujua kingereza sio ishara ya mtu kutokwenda shule.acha kuwa na fikra potofu.

watu wa nchi ya malawi japo ni masikini wa kutupwa na wengi wao hawana shahada za vyuo vikuu,lakini wanazungumza kingereza fasaha kuzidi hata wakenya.
Usione kachanganyikiwa huyo bomu linampeleka puta hana raha usiku wala mchana wanjala alimchuza mwenzie kamuuza kwa bei cheee😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom