Wewe imba tu wimbo wako, upo sahihi kabisa hata mimi ningekua kwenye nafasi yako ningekamata Wimbo nikaimba haswa! Lakini haitoondoa ukweli ambao upo wazi!Utazunguuka koteee maneno mengi lakini Bomu no 1 liko pale pale halibanduki😀😀😀😀😀
Lunasubiri kuona wewe kilaza plus au sio
Ukilijibu wewe sio kilaza 😛😛 usipolijibu ujue kilaza plus 😀😀😀
Chagua sasa kusuka au kunyoa hhahhhahahahah
😀😀😀😀😀😀
Wakenya jitokezeni kumuokoa mwenzenu anakufa huku anajiona  🙂🙂🙂🙂🙂
Alidhani kadaka mpira kumbe bomu🙄🙄View attachment 504210
Mwisho wa siku Shule baba, Shule.... ukimaliza kuimba mabomu tafuta shule, unaona umuhimu was Shule saivi? Hadi unafikia kufoji.... umeona umuhimu wake.