Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hakunaga kitu kinachokuja kwa uwepesi,kila nchi inafanya kitu kwa juhudi zake......ili ifike pale inapopaswa kuwa......hata south sfrica alikuwa on top,how about now?...

hivyo hata kenya nayo si kitu ni nchi kama nchi nyingine


Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kukubali kwamba kwa sasa tumewashinda
 

Habari za leo ndugu,vipi taarifa za njaa iliyoua kule turkana kenya ni ya kweli au uzushi tu,wa watz wanaotaka kuwagombanisha na vipenzi vyenu wazungu!!!???
 
Kuna swala hutaweza kulielewa wewe chief wa turkana. Unadhani Raisi wa URT anabahatisha? wewe focus na Dar tu ila mwenzio anaiandaa mikoa yote Tanzania, pale inapoanza kuyield results alizokua anazitaka mtabaki midomo wazi maana mikoa mingi sana itakua on fire kupika pato la taifa. Projects unazoziona Dar ni kuifanya irahisishe support as a business hub. Nakupa miaka tano from now utabadilisha hata hiyo ID
ulicho mchana ni kweli....ila tuwaache tu ns ujinga wao kwani yajayo yanafurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
futio.jpg
 
Back
Top Bottom