Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nimependa point yake ya kufundishwa kwa wazawa ili kesho kesho kutwa vitu vifanyike bila wajenzi wageni...
Hicho alichosema Raila ndicho tunachofanya, kuna wahandisi wengi watanzania wanaoshiriki katika ujenzi, pia wapo wahandisi kutoka JW ambo wapo kusaidi na pia kujifunza.

Kitu kingine walichofanya kwenye maradi huu ni kutumia nguvukazi ya watu (labor intensive) badala ya mashine (Capital intensive). Kuwa rahisi kutumia ujuzi moja kwa moja utakapohitajika kutengeneza reli nyingine baadae badala ya kutegemea mitambo kutoka nje.
 
njaa njaa njaa...
Screenshot_2019-03-22-08-28-18-000_com.twitter.android.jpeg
 
wacha kubadilisha story, hakuna siku Tanzania itawai shida kenya, period, hata mjaribu aje, we will always do better than you guys, Hata Dar hatawai pita Nairobi kwa kila kitu, mwendelee kupiga kelele
๐Ÿ™‚๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Endeeeni kudanganya dunia tu๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

 
Hicho alichosema Raila ndicho tunachofanya, kuna wahandisi wengi watanzania wanaoshiriki katika ujenzi, pia wapo wahandisi kutoka JW ambo wapo kusaidi na pia kujifunza.

Kitu kingine walichofanya kwenye maradi huu ni kutumia nguvukazi ya watu (labor intensive) badala ya mashine (Capital intensive). Kuwa rahisi kutumia ujuzi moja kwa moja utakapohitajika kutengeneza reli nyingine baadae badala ya kutegemea mitambo kutoka nje.
kabisa upo sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
17 counties njaa inaua watu inaskitisha mtu kuongelea GDP wakat watu wanakufa njaa inauma sana



View attachment 1051017
ndiyo maana huwa tunawaambiaga kuwa hiyo GDP wanayopiga nayo kelele ipo mikononi mwa watu wachache wajujumu uchumi yaani mabwanyenye na white people...

kiuhalisia kikundikikubwa cha wakenya halisi hawana maisha ambao ni 99% ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom