Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
achana naye ana matatizo huyoPwahahaha do you know the mining of High Tech Hub? Show me your Data center
Go Back to school
View attachment 1045469
Sent using Jamii Forums mobile app
achana naye ana matatizo huyoPwahahaha do you know the mining of High Tech Hub? Show me your Data center
Go Back to school
View attachment 1045469
huyo jamaa ni mpuuzi anafikra zilizozeekaSwali gani wewe kitimoto!!!
Miaka ya 70 wazee wetu walikuwa akisafiri kuja nairobi kufanya shoping,na hii ni 2019.usiishi na hii historia.
Unapouliza hilo swali huamini!!!,au hukubali!!!
safi kabisa hajui kama hii kitu tulishanyosha watu hapa mpaka kamasi zikawatokaNitajie jina la mvumbuzi wa mpesa,mind you tunafaham kabisa ni mzungu, Sio mkenya hasa ukitaka tusibishane leta evidence
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamepiga pesa wamekimbiza ulaya😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇Tuonesheni Innovations mumefanya,
kuogelea hapa ni how much?View attachment 1044816
View attachment 1044818
View attachment 1044824
Sent from my iPhone using JamiiForums
kuogelea hapa ni how much?
This is a settlement scheme not a city, No big local and international cooperations/company, tech innovations/hub, it's just the government assisting people to settle. Look at Nairobi's GDP then we can talk
wasamehe mungikiIn Dar es Salaam This is how we aproach the weekend
Golden Water means Gold.
View attachment 1045726View attachment 1045727
huyu dogo licha ya kwamba anafanya kazi kubwa ya kutangaza miji mbalimbali ya africa, huwa anakumbana na misukosuko. mingi sana ya kukamatwa na authorities za miji husika.Wakenya wanamrudisha tena kenya baada ya kuona promo anayoipa bongo,anarudi tena kenya [emoji23]
Yuko zenj,kesho anarudi darhuyu dogo licha ya kwamba anafanya kazi kubwa ya kutangaza miji mbalimbali ya africa, huwa anakumbana na misukosuko. mingi sana ya kukamatwa na authorities za miji husika.
alipokuja dar kwa mara ya kwanza, aliwahi kukamatwa na ameelezea katika moja ya video zake.
ila kali kuliko zote ni siku alipokamatwa nchini kenya. hii ameitengenezea video maalumu.
Now this is a megacity
View attachment 1045393
Hii angle sijaona picha zake nyingi...mtu akikaa vizuri ataweza kupata picha nzuri sana
Kweli kabisa, hivi kuchukua picha hayo majengo kutoka upande wa kigamboni inaruhusiwa? Na je kibali cha drone mlolongo wake ukoje?Hii angle Naipata Sema siku hiyo sikuwa na wise angle lens. Ukiwa na wise agle hapo unapata Li Skyline lote
Kweli kabisa, hivi kuchukua picha hayo majengo kutoka upande wa kigamboni inaruhusiwa? Na je kibali cha drone mlolongo wake ukoje?