Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

JNIA1.png

JNIA2.png

JNIA3.png
 
i wish kila kampuni inayopanga kuset up kiwanda nchini kifanikiwe. nchi yetu itakua sana industrially mana Plants nying sana zimeahadiwa kuwa set up nchini
Yan sana bro mwaka jana
Nmesoma LG,Kuna hao wakorea yaan ziko kibao bro ...kulikuwa kuna Bajaj...yan goverment iwape terms nzur hawa watu waweke ...viwanda hupungza sana tatizo la ajira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmeangalia Comments za ndugu zetu kaskazini? Ni battle kama hapa 🤣🤣🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hawa jamaa baadhi yao washamba sana... hawawezi kufurahia cha wengine, wao lazima wachafue tuu. Utasikia but Kenya is the...Kenya has.... Siyo wote wako hivyo ila kuna kundi kubwa miongoni mwao wako hivyo.
 
Back
Top Bottom