Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukitokea sinza kwa njia ya kati
20190306_105939.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanza kuna sources of wealth nyingi mno. Serikali ikiwekeza kama invyowekeza Dar, uchumi utakua kwa kasi sana.
1. Mwanza ipo karibu na nchi zote za jumuiya ya afrika mashariki, ukijenga uwanja wa ndege wa kimataifa unaoeleweka Mwanza, itakuwa gateway ya hii region.
2. Jiji lipo karibu na hifadhi ya serengeti, watalii kutoka kona zote za dunia watakuwa wanakanyaga mwanza kwanza kabla ya kwenda serengeti, fursa za hoteli, migahawa nk
3. Ziwa victoria na samaki wake, kwa wale ambao wameshakula tilapia wanaelewa, viwanda zaidi ili tuweze kuexport more fish
4. Bandari iboreshwe tusafirishe vitu kupeleka Uganda baada ya sgr line kufika Mwanza
5. The city itself ni kivutio, hiyo miamba sio mchezo, urban tourism inweza kufanyika
6. More roads, Mwanza sasa hivi traffic jam inanukia kila siku, barabara ya kutoka town hadi nyegezi, buhongwa ambayo iko paved ni moja tu, hamna shortcuts nyingine za kukufikisha southern Mwanza zaidi ya hiyo so jam ikitokea katikati kwisha yako

Yaani Mwanza itakuwa tishio, miji kama Frankfurt in Germany haina population kubwa kama Berlin na wala sio capital city lakini serikali imespecialise kuwa financial center na uone jinsi fursa zinavyomwagika na TZ ifanye hivyo hivyo kwa miji kama Mwanza, Arusha, Mbeya na Dom sio kuwekeza Dar peke yake.
Well said

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom