Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kisumu airport๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡5b imekwenda na maji duhhhh


View attachment 1030528

Itakuwa imejengwa na wachina hii, Kenya wakaambiwa ni Chinese class one,
Kinachonishangaza mikataba iko kwa kiingereza na wachina hawajui kiingereza vizuri kama wakenya ila bado wanawaingiza mjini.
 
Hivi hii iliyopigwa winch pale Dar ni moja ya zile 3 zilizogongana kule Nairobi au hii imekuwa ya 4 kuharibika ndani ya wiki 3 hizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni lingine bovu tofauti na zile nyingine, hii ilikua inaenda Southafrica ila sababu ya hitilafu ikabaki hapo abiria wanafaulishwa kwenye SA airline
 
Tamasha la kipekee ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘



 
Morocco square
Screenshot_2019-02-24-11-21-55.png
Screenshot_2019-02-24-11-22-17.png
Screenshot_2019-02-24-11-22-21.png
Screenshot_2019-02-24-11-22-11.png
 
Itakuwa imejengwa na wachina hii, Kenya wakaambiwa ni Chinese class one,
Kinachonishangaza mikataba iko kwa kiingereza na wachina hawajui kiingereza vizuri kama wakenya ila bado wanawaingiza mjini.

Huwa nasema hicho kiingereza chenye rafudhi ya makande,ni kwa ajili ya kutongozea wanaume wazee wa kizungu,hamna matumizi mengine.
 
Back
Top Bottom