Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Morning from Dar Es Salaam...
IMG_1550902923.250072.jpg
 
simon acha kupost picha za Abu Dhabi.
dar es salaam haiwezi kuwa ma sehemu nzuri kama hii...[emoji16]
Kweli Abu dhabi iko vizuri ila hiyo sehemu imefunikwa na sehemu kibao za Dar. Kuna picha ali itupia mkali Ndinda alipiga maeneo ya umoja wa vijana ile ni summary ya CBD zote za E.A.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya tuwaombee ama tuwahurumie tu.!!
Hawa ni watu walijisahau sana leo hii wanashtuka kumekucha ndio wanatafuta shuka😆😆😆😆 miaka 50 walijidai kujitenga kua wabinafsi na kujenga nchi yao sasa waulize miaka 50 leo hii kipi cha maana wamejenga unaeza toa machozi
 
Back
Top Bottom