Hapa sio Dar bhanaMorning from Dar Es Salaam... View attachment 1029805
simon acha kupost picha za Abu Dhabi.Morning from Dar Es Salaam... View attachment 1029805

Hapa sio Dubai, Al Quasis?Morning from Dar Es Salaam... View attachment 1029805
Jembe la mkono linaenda kupotea taratibu. Hili nimelishuhudia Morogoro, watu wana tumia sana tractors. Ata kimahesabu kuweka watu walime 1 hectare kwa mkono ina cost zaidi bora kukodi tractor.Dah JPM Mungu akuweke
Tanzania ya viwanda ipo
Kweli Abu dhabi iko vizuri ila hiyo sehemu imefunikwa na sehemu kibao za Dar. Kuna picha ali itupia mkali Ndinda alipiga maeneo ya umoja wa vijana ile ni summary ya CBD zote za E.A.simon acha kupost picha za Abu Dhabi.
dar es salaam haiwezi kuwa ma sehemu nzuri kama hii...![]()
Dah inauma sana kuskia pesa za walipa kodi zimepotea tayari๐ณ๐ณ๐ณ๐ณanother bad news from kenya:
uwanja wa ndege wa kisumu uliogharimu mabilioni ya pesa za walipa kodi wa kenya, umekumbwa na mafuriko.
View attachment 1029999View attachment 1030000
Pesa za walipakodi kenya hupotea hvi๐๐๐๐๐๐๐another bad news from kenya:
uwanja wa ndege wa kisumu uliogharimu mabilioni ya pesa za walipa kodi wa kenya, umekumbwa na mafuriko.
View attachment 1029999View attachment 1030000
Pesa za walipakodi kenya hupotea hvi๐๐๐๐๐๐๐
Harufu inanukia๐๐๐๐๐๐๐
Hawa ni watu walijisahau sana leo hii wanashtuka kumekucha ndio wanatafuta shuka๐๐๐๐ miaka 50 walijidai kujitenga kua wabinafsi na kujenga nchi yao sasa waulize miaka 50 leo hii kipi cha maana wamejenga unaeza toa machoziWakenya tuwaombee ama tuwahurumie tu.!!