Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_8136.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Jembe la mkono linaenda kupotea taratibu. Hili nimelishuhudia Morogoro, watu wana tumia sana tractors. Ata kimahesabu kuweka watu walime 1 hectare kwa mkono ina cost zaidi bora kukodi tractor.

Sent using Jamii Forums mobile app
Just imagine toka January this year wameshauza matrekta zaidi ya 250 ndani ya miezi miwili tu, kwa nini Tanzania isitajirike? Alafu kuna watu wanasema watanzania wavivu wao aggressive wakati njaa zinawaua.

JPM kafanya la maana sana kuleta hiki kiwanda Tanzania, sasa tutaulisha Africa yote kwa style hii.

Kuna kile kiwanda cha vigari vya voksiwagen kinauza vigari 90 kwa mwaka mahali alafu kelele huku hatulali. Smh
 
Hii ni kama ile sgr ninahisi mchina kahusika!


๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Am now comfortable that am not alone shocked by this guy Jafo, kiukweli nimewaza hii project ya huyu jamaa I failed to figure out how,

Na nilipanga nilete thread humu wakenya wanieleze kwa namna walivyo mafisadi na waroho wa pesa za uma, inawezekana vipi jengo kama hili linaweza kujengwa with only KES 45,454,545 (1B TSH) jamaa katisha balaa
images (7).jpeg
images (5).jpeg


Japo JPM aliwapa kila wizara 1B ili kurash shifting mapema huku mpango ukiwa baada ya kuhamia Dodoma tu ujenzi wa majengo makubwa ya ghorofa yaanze kwa kila wizara lakini Jamaa kajemga jengo la ghorofa peke yake kwa pesa ile ile.

Huyu atakuja kua PM wa Majaliwa au Rais baada ya Majaliwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Just imagine toka January this year wameshauza matrekta zaidi ya 250 ndani ya miezi miwili tu, kwa nini Tanzania isitajirike? Alafu kuna watu wanasema watanzania wavivu wao aggressive wakati njaa zinawaua.

JPM kafanya la maana sana kuleta hiki kiwanda Tanzania, sasa tutaulisha Africa yote kwa style hii.

Kuna kile kiwanda cha vigari vya voksiwagen kinauza vigari 90 kwa mwaka mahali alafu kelele huku hatulali. Smh
Jamaa wana confused priorities! kuna sehemu nimeona wanajipiga kifua kuwa wana tengeneza ndege.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa wana confused priorities! kuna sehemu nimeona wanajipiga kifua kuwa wana tengeneza ndege.

Sent using Jamii Forums mobile app
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sasa wao kutengeneza hizo ndege hawajui kama ni liability? Sababu najua hawana uwezo wa kutengeneza ndege kama ndege zaidi ya kurepair hizo skrepa za KQ zilizogongwa na rubani mlevi wa chang'aa hapo JKIA, yaani kwa hii pace JPM anayotupeleka nayo we're on the right track kibabe.
 

Sasa wao kutengeneza hizo ndege hawajui kama ni liability? Sababu najua hawana uwezo wa kutengeneza ndege kama ndege zaidi ya kurepair hizo skrepa za KQ zilizogongwa na rubani mlevi wa chang'aa hapo JKIA, yaani kwa hii pace JPM anayotupeleka nayo we're on the right track kibabe.
Hivi hii iliyopigwa winch pale Dar ni moja ya zile 3 zilizogongana kule Nairobi au hii imekuwa ya 4 kuharibika ndani ya wiki 3 hizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisumu airport๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡5b imekwenda na maji duhhhh


4BABC83C-357E-4D07-8455-5138E2E30872.png
 
Back
Top Bottom