Yah hi kweli kuna miradi imepitishwa kwa halmashauri kadhaa nchini, kwa mwanza hi ujenzi wa bus terminals 2, mwanza huwa ina bus terminals 2 ambazo zote kwa sasa ni crap, ile ya nyegezi itabaki kuwa nyegezi, ni ile ya buzuruga itahamishiwa nyamhongholo na itaitwa ilemela bus terminal, soko kuu la mwanza litafumuliwa na kuwa la kisasa zaidi, ujenzi waweza kuanza mwaka huu, nimeclarify miradi ya mwanza sababu ndio ninayoijua zaidi.Wakuu nasikia mzee baba kamwagaa mabilioni fukwe za coco Beach kujemgwa kisasa, mwenye news atuletee
Pia nasikia Mwanza kunajengwa bus terminal matata na malls
Hatari fire๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅYah hi kweli kuna miradi imepitishwa kwa halmashauri kadhaa nchini, kwa mwanza hi ujenzi wa bus terminals 2, mwanza huwa ina bus terminals 2 ambazo zote kwa sasa ni crap, ile ya nyegezi itabaki kuwa nyegezi, ni ile ya buzuruga itahamishiwa nyamhongholo na itaitwa ilemela bus terminal, soko kuu la mwanza litafumuliwa na kuwa la kisasa zaidi, ujenzi waweza kuanza mwaka huu, nimeclarify miradi ya mwanza sababu ndio ninayoijua zaidi.
Hapa chini ni rendering images.
Nyegezi bus terminal.
View attachment 1016784
View attachment 1016786
Ilemela bus terminalView attachment 1016788View attachment 1016791View attachment 1016792
Tunahitaji cruise port terminal ili ku attract zaid meli za aina hii
Baada ya expansion itakuwepo hio broTunahitaji cruise port terminal ili ku attract zaid meli za aina hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini ndinda wakenya wamekukosea nn budaa๐คญ๐คญ๐คญ
Ndani ya expansion itakuwepo bro mambo mazuri yanakuja๐๐๐๐Tunahitaji cruise port terminal ili ku attract zaid meli za aina hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Glad u back with new Id