Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Darhattan hiyoooooo
Dy02CmcX4AAbJC8.jpg
 
Wakuu nasikia mzee baba kamwagaa mabilioni fukwe za coco Beach kujemgwa kisasa, mwenye news atuletee

Pia nasikia Mwanza kunajengwa bus terminal matata na malls
Yah hi kweli kuna miradi imepitishwa kwa halmashauri kadhaa nchini, kwa mwanza hi ujenzi wa bus terminals 2, mwanza huwa ina bus terminals 2 ambazo zote kwa sasa ni crap, ile ya nyegezi itabaki kuwa nyegezi, ni ile ya buzuruga itahamishiwa nyamhongholo na itaitwa ilemela bus terminal, soko kuu la mwanza litafumuliwa na kuwa la kisasa zaidi, ujenzi waweza kuanza mwaka huu, nimeclarify miradi ya mwanza sababu ndio ninayoijua zaidi.

Hapa chini ni rendering images.

Nyegezi bus terminal.
NYEGEZI-BUS-3.jpg

NYEGEZI-BUS-2.jpg


Ilemela bus terminal
ILEMELA-BUS-1.jpg
ILEMELA-BUS-2.jpg
ILEMELA-BUS-5.jpg
 
Yah hi kweli kuna miradi imepitishwa kwa halmashauri kadhaa nchini, kwa mwanza hi ujenzi wa bus terminals 2, mwanza huwa ina bus terminals 2 ambazo zote kwa sasa ni crap, ile ya nyegezi itabaki kuwa nyegezi, ni ile ya buzuruga itahamishiwa nyamhongholo na itaitwa ilemela bus terminal, soko kuu la mwanza litafumuliwa na kuwa la kisasa zaidi, ujenzi waweza kuanza mwaka huu, nimeclarify miradi ya mwanza sababu ndio ninayoijua zaidi.

Hapa chini ni rendering images.

Nyegezi bus terminal.
View attachment 1016784
View attachment 1016786

Ilemela bus terminalView attachment 1016788View attachment 1016791View attachment 1016792
Hatari fire๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
 
Watu wanatafuta shuka kumekucha๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

 
Back
Top Bottom