Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

bila shaka katika hao mashabiki maelfu, walikuwepo wale blind patriots wachache waliojiandaa ku sabotage the whole event ila walitekwa na mziki mzuri toka kwa vijana wa kitanzania walijikuta wamesahau kukamilisha lengo lao ovu.

Screenshot_2018-12-27-22-47-12-738_com.twitter.android.jpeg
 
wakenya siku zote huwa hawaamini kama watz wapo well exposed na maisha ua ughaibuni...wanadhani ni wao tu ndio wanatembea dunia.

ingekuwa bado wanaendelea kukomenti kwa uzi huu, lazima wamgejitokeza kutaka uthibitishe kama kweli upo USA.

enjoy the life bro.
Kuna fala moja eti lilikuwa linasema hatuwezi ku afford KFC junk...wakati tunazipita hatutaki hata kuziona
IMG_20181226_141819.jpg
IMG_20181226_141714.jpg
IMG_20181226_143829.jpg
IMG_20181226_143853.jpg
 
Na phase 2 BRT imeanza juzi nimeona wakifanya vipimo vya barabara kilwa road na nimeskia itakua modern kuliko hii phase one na mabasi yake yatatumia gas👏👏👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Back
Top Bottom