REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,918
- 14,894
😂😂😂 Publicly a certain public figure anawaambia kabila fulani waungane kama wanataka mmoja wao awe kiongozi 😔 that's only in Kenya, tribalism kweli ipo next level hukowakati huhuo, siasa zao za kikabila zimeshaanza kuchukua nafasi mapema sana kabla ya muda rasmi wa uchaguzi.
sisi wengine tulishatabili kwambwa kabla ya uchaguzi wao wa 2022,lazima mkikuyu atahahikisha mkelenjini william ruto hawai rais wa kenya licha kuwa mtu wa karibu na uhuru kenyatta.
View attachment 978716







