kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
sio kwamba kususa kwao hawafatilii, la hasha,wanafatilia kila tunachopost. mda wote wanachungulia hapa. kurudi wanataka ila nafsi zinawasuta. wanajishtukia.Duh, spati picha...Wa254 watazidi kukimbia hili jukwaa kwa stail hii, Kila kukicha Mnawachapa na kitu kipya.😀😀




binafsi sitaki warudi, wabaki nje ya thread wakikodoa mimacho...uzi umetulia sana tangu kuondoka kwao. tunapost bila tension yoyote. so relaxing.






safi sana