kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
sio kwamba kususa kwao hawafatilii, la hasha,wanafatilia kila tunachopost. mda wote wanachungulia hapa. kurudi wanataka ila nafsi zinawasuta. wanajishtukia.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Duh, spati picha...Wa254 watazidi kukimbia hili jukwaa kwa stail hii, Kila kukicha Mnawachapa na kitu kipya.😀😀
binafsi sitaki warudi, wabaki nje ya thread wakikodoa mimacho...uzi umetulia sana tangu kuondoka kwao. tunapost bila tension yoyote. so relaxing. [emoji16][emoji16]