Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Duh, spati picha...Wa254 watazidi kukimbia hili jukwaa kwa stail hii, Kila kukicha Mnawachapa na kitu kipya.😀😀
sio kwamba kususa kwao hawafatilii, la hasha,wanafatilia kila tunachopost. mda wote wanachungulia hapa. kurudi wanataka ila nafsi zinawasuta. wanajishtukia.

binafsi sitaki warudi, wabaki nje ya thread wakikodoa mimacho...uzi umetulia sana tangu kuondoka kwao. tunapost bila tension yoyote. so relaxing.
 
sio kwamba kususa kwao hawafatilii, la hasha,wanafatilia kila tunachopost. mda wote wanachungulia hapa. kurudi wanataka ila nafsi zinawasuta. wanajishtukia.

binafsi sitaki warudi, wabaki nje ya thread wakikodoa mimacho...uzi umetulia sana tangu kuondoka kwao. tunapost bila tension yoyote. so relaxing.

Yule maid mlevi,nilimfuma sehemu anamlaumu mwenzie kwa kukoment katika huu uzi,nikamuuliza"kumbe unafuatilia hatua kwa hatua za ule uzi???"

Alivyogundua kajivua nguo aliruka mita mia.
 
Jamaa kaingia na huku pia👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿


B1CFD35E-DD3B-4822-84FE-41C157C7742F.jpeg
C27FBE4D-5548-4780-9F88-7942C511AD25.jpeg
 
Back
Top Bottom