Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna mchumi wao anaitwa dr ndii aliyasema kabla mchina kujenga alisema deni hilo kenya hawawezi kulipa kwasababu pesa ni kubwa sana ukilinganisha na uhalisia ambao hauwezi kukidhi masharti ya kulipa deni hilo alaf pia aliizungumzia tanzania kwa upande fulani akasema kenya imejisahau kuhusu tanzania
Halafu kwao ndo mradi mkunwa na wente thamani kuliko yooote tokea uhuru wao
 
Wakenya wanafiki walisema hatuwezi nunua ndege 7 na hata zilivokuja bombadier zile waliziita mitungi ya chang'aa. ..
Sasa ndege zinakuja wanasema nn tena?
Reli walisema tuwaonyeshe km1 tu ndio waamini kama kwel..tena kuna mmoja alisema tukimuonyesha 1km ya sgr kuna jambo angefanya lakin bado yupo kimya
Hawana chakufanya kwasababu hawaamini leo kinachotokea unajua inauma sana kwa nchi iliokua na opportunity ya kuendelea zaidi ya miaka 45 leo inakuja nchi ilioanza maendeleo just 10yrs alaf inafanya mambo amabyo makubwa sana😀😀😀
 
Halafu kwao ndo mradi mkunwa na wente thamani kuliko yooote tokea uhuru wao

Mradi ni mkopo alaf umeajiri wachina 5000 na wakenya 1600 na unaambiwa mishahara ya hao wachina 5000 inaeza ajiri wakenya 15000 na wakaishi maisha mazuri😂😂😂😂😂 dr ndii aliyasema japokua ni mpinzani lakini aliyasema leo wanamkumbuka
 
Mkenya Yupo Radhi avae suti aende CBD
Auze suraa mfukoni Zero
Jioni anarudi Kibanda Cha Nguruwe kulala
kwake poa sana
umesahau na kingereza.
mkenya anaweza kujisifia uwezo wake wa kuongea/kuandika lugha ya kingereza kwa ufasaha ila mfukoni hana pesa, hana ajira na anapoishi hapana hadhi.

kingereza bila maisha mazuri ni ujinga.
 
kuna jambo muhimu nime notice.
tangu kutoweka kwa wakenya kwenye thread hii, LIKES zimeongezeka.

ni kwamba sasa thread inautulivu ambao hupelekea kutoa nafasi kwa watu mbalimbali kufatilia kila comment kwa umakini na kutoa like.

wakenya walikuwa wanachangia ku-distort muelekeo wa thread kwa kurudia picha za cbd, flyovers, malls na appartments. hii ilisababisha kukosekana kwa likes za kutosha.

tangu kutoweka kwao, wafatiliaji wa thread wanatoa likes willingly.

IMG_20181216_140735.jpeg
IMG_20181216_140831.jpeg
IMG_20181216_140859.jpeg
IMG_20181216_140923.jpeg
IMG_20181216_141007.jpeg
 
hahahaha....kurudi wanataka ila nafsi zao zinashikwa na haya maana walituaga kwa mbwembwe.

wamebaki tu kukodoa mimacho wakishuhudia uzi ukiendelea kutrend.
Nimekutag ile thread wamefungua nenda uone machozi yakivowatoka😂😂😂😂😂 wanalia na ichoboy
 
Back
Top Bottom