Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Naijua vyema.....aisee bado tuna safari ndefu


Naijua vyema.....aisee bado tuna safari ndefu


Floods inapanda mpaka kwenye flyovers mulijengewa na wendawazimu 😂😂😂😂😂😂😂😂Lol.... Ichoboy have you seen anyone drowning in the floods?.
I told you.kwa mafuriko darislum IPO level nyingine. Hapo tumekubali kushindwa.View attachment 965109
KabisaaaaView Project
Paper hiyo imetoka Sept 2018 in the making..
Dar es Salaam ya 2025 itakuwa ni moto sana in terms of infrastructures which is good
Cheki hilo expressway
-BRT 2,3 & 4 Hizi zitabadili sura ya city center kabisa maana zitaoccupy almost asilimia 90 ya barabara zote za katikati ya mji cheki map
-The development of Msimbazi Basin.
-Daraja jipya la Salendar Bridge.
- Interchange ya Ubungo.
- Barabara ya Dar es Salaam- Kibaha.
-The Airport City
...........
Asante Rais Magufuli asante Rais Mstaafu Kikwete Asante Watanzania Asante Africa Asante Dunia.
nimesahau SGR na Station zake hatari
KCMC moshi😂😂😂👇👇👇
Ukiskia mto msimbazi ndio hapo kuna daraja refu maji hupita chini ya hilo daraja kuelekea baharini so kufurika kwa mto sio ajabu ila ajabu inakuja pale maji yanafirika kwenye flyover😂😂😂😂Hadi hii road ya brt mlijengewa na wazimu pia ichoboy. Bure kabisaView attachment 965124
LOL UMEANZA KUPOST MEDICAL COLLEGES
Ombaomba hawana makwao mbona mukiwakamata wa congo na sudan munawarudisha kwao ina maana hawana makwao au munawadanganya wazungu kuficha aibu zenu 😂😂😂😂😂😂siku omba omba wa tanzania wataacha kuja kenya nitajua tanzania is making progress ya kutoka katika minyororo ya aibu duniani ya kundi la mataifa maskini sana duniani yaani LDC
Kadoda plz plz👏👏👏👏 isingekua hzo plate numbers wangekwambia sio kwao😂😂😂😂😂 na clinic iko karibu hapo wameeka maksudi
😂😂😂😂😂 nini hii unatuoneshaKMTC KAPENGURIA
View attachment 965132
hao ombaomba wanapitaje kwa borders za kenya?.don't tell us they have official travelling documents.siku omba omba wa tanzania wataacha kuja kenya nitajua tanzania is making progress ya kutoka katika minyororo ya aibu duniani ya kundi la mataifa maskini sana duniani yaani LDC



numbers don't lie bro....number plate haidanganyi...Kadoda plz plzisingekua hzo plate numbers wangekwambia sio kwao
na clinic iko karibu hapo wameeka maksudi




😂😂😂👇👇👇👇👇 na tiba ilishaanzaJinga kabisa ichoboy eti huo ni mto daresalaam? If that's the case then hata mimi nitasema ni Nairobi river.