Tell a friend to tag a friend, social relationship should be well taken care of. Upperhill + ¼ of westy.Ahahahah one pic westalnd upperhil na CBD zinapambana na posta![]()
Kwani posta siku hizi imekuwa extended from the shore hadi penye the pictures were taken?
Tell a friend to tag a friend, social relationship should be well taken care of. Upperhill + ¼ of westy.View attachment 964362
Asante kwa kuleta picha ya 1980Picture iliochukua more than 25km hahahhaleta picha iliochukulia nairobi just 10 km uone
View attachment 964363
Ehehehe nioneshe ni jengo gani la CBd halipo kwenye hio picha ukipata nitag😂😂😂😂Asante kwa kuleta picha ya 1980
At least hiyo imeleta only CBD, Upperhill na Westy. Lakini hii hapa is whole of Dar plus its watersRobo wakat west inaonekana vzraliepiga picha hii ndio alieonesha uhalisia wa nairobi
Picha moja imekusanya takataka zoteView attachment 964364
Sure.Kenya wapo wanapiga safari. Sema tu badala ya siku saba 7 wamefanya kuwa 5, sio mbaya wanakusanya watalii.
Kiukweli Kenya wako mbali ktk mengi, hata kama ni kujigamba waacheni maana ni haki yao.
Eti the whole dar 😀😀😀 umeanza kuchanganyikiwaAt least hiyo imeleta only CBD, Upperhill na Westy. Lakini hii hapa is whole of Dar plus its watersView attachment 964367
UON tower haikoEhehehe nioneshe ni jengo gani la CBd halipo kwenye hio picha ukipata nitag![]()
UON tower haiko
Afya Center haiko
Anniversary towers haiko
Buzzar plaza haiko
KEMU towers haiko
Pensioners tower haiko
Hazina haiko
Nation Center haiko
Plus many.
Lol.Hapa ni Kongo kweli?
These people can't bring tandale images because of denialism. At least Kenyans have never denied kibera.View attachment 964369View attachment 964370View attachment 964372View attachment 964373View attachment 964374View attachment 964375View attachment 964376View attachment 964377View attachment 964378View attachment 964379View attachment 964381
Ukiona hata moja kwa hiyo list please tag me.Umeona haziko????![]()
WHOLE DAR IS SLUMPicha moja iliopigwa karibu sana na majengo imekalisha jiji lote la nairobialaf wanataka kushindana na dar muna safari ndefu sanaView attachment 964380
What do you mean by mawingu yanaonekana? Cause hata hii pia mawingu. yanaonekanaEti the whole darumeanza kuchanganyikiwa
Imepigwa umbali gani mpaka mawingu yanaonekana![]()
http://www.au-pida.org/view-project/200/
Paper hiyo imetoka Sept 2018 in the making..
Dar es Salaam ya 2025 itakuwa ni moto sana in terms of infrastructures which is good
Cheki hilo expressway
-BRT 2,3 & 4 Hizi zitabadili sura ya city center kabisa maana zitaoccupy almost asilimia 90 ya barabara zote za katikati ya mji cheki map
-The development of Msimbazi Basin.
-Daraja jipya la Salendar Bridge.
- Interchange ya Ubungo.
- Barabara ya Dar es Salaam- Kibaha.
-The Airport City.
...........
Asante Rais Magufuli asante Rais Mstaafu Kikwete Asante Watanzania Asante Africa Asante Dunia.
http://www.au-pida.org/view-project/200/
Paper hiyo imetoka Sept 2018 in the making..
Dar es Salaam ya 2025 itakuwa ni moto sana in terms of infrastructures which is good
Cheki hilo expressway
-BRT 2,3 & 4 Hizi zitabadili sura ya city center kabisa maana zitaoccupy almost asilimia 90 ya barabara zote za katikati ya mji cheki map
-The development of Msimbazi Basin.
-Daraja jipya la Salendar Bridge.
- Interchange ya Ubungo.
- Barabara ya Dar es Salaam- Kibaha.
-The Airport City
...........
Asante Rais Magufuli asante Rais Mstaafu Kikwete Asante Watanzania Asante Africa Asante Dunia.
nimesahau SGR na Station zake hatari